Punguza unywaji wa pombe, ukiweza acha kabisa

Madhara ya pombe ni makubwa sana kuliko wengi wanavyofikri.Mimi niko kwenye tiba kwa miaka kadhaa sasa,magonjwa mengi yanayowasumbua watu ni yale ya mtindo wao wa maisha ikiwemo unywaji wa pombe kupindukia.
Wewe unayedharau na kupuuza ujumbe huu ambao umekufikia bure kabisa bila malipo ni wazi kuwa afya ya akili haiko sawa pia.Ulipaswa kumshukru Mungu kwa kukumbushwa jambo lililo jema katika maisha yako na familia yako kwa ujumla.

Mungu aendelee kutulinda
Bro umenena vema naomba unitafute kwa namba hii 0744312003 nahitaji msada ktk hili

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
TAMBUA UNYWAJI SAHIHI WA POMBE

Kitu cha msingi kwenye pombe siyo kujua aina ya beer au kilevi. Kitu cha msingi ni kujua percentage of pure alcohol (asilimia ya pombe halisi) na ujazo wake ( volume).

Unit moja ya pombe ni sawa na 10mls of pure alcohol or 8g of the same. Mwanaume hutakiwa kunywa unit 3 za pure alcohol na mwanamke 2 kwa siku( standard units)

Mfano , let say una kinywaji cha pombe(mzinga) umeandikwa 40 percent na ujazo labda 500mls. Hiyo asilimia 40 ni pure alcohol ya ujazo . Ukizidisha mara 500mls unapata 200mls za pure alcohol. So kwenye mls 500 only 200mls are pure alcohol
Kama unit moja ya pure alcohol Ina 10mls za pure alcohol , katika 200mls tulizopata zitakuwa na unit 20 za pure alcohol ( chukua 200mls gawanya kwa 10mls).

Je ,kiasi gani unywe kwa mzinga huo ?

Ni rahisi sana ! Ikiwa unit 20 za pure alcohol zina ujazo wa mls 500 , je unit 3 kwa mwanaume ujazo utakuwaje ?
Jibu 500mls zidisha mara 3 gawanya kwa 20. (75mls )
So utakunywa mls 75 tu kwenye mzinga huo sawa na vifuniko 3 vya mls 25 vya kwenye chupa ya dawa za syrup.

Kumbuka! Pombe huzuia uchomaji wa chakula cha wanga na mafuta kwa zaidi ya saa 72 na kupelekea ongezeko la Uzito, vitambi ,ini kujaa mafuta ( alcoholic fatty liver diseases ) na insulin kinzani ( insulin resistance) , hivyo kuwa katika hatari ya kisukari na shinikizo kubwa la damu.

Ukiweza usinywe pombe kutokana na kusisimua ubongo kwenye eneo la madawa ya kulevya ( mu opioid receptor ) hivyo kusababisha utegemezi ( dependency)

Jinsi pombe inavyoathiri mwili wako

1. Ubongo wako: Pombe hata kiwango kidogo, husababisha madhara yasiyorekebishika kwenye seli za ubongo;baadhi hufa na zingine hubadilika.

2: Moyo wako: Pombe huongeza hatari ya shinikizo la damu, kiharusi, na kudhurika kwa misuli ya moyo.

3: Mapafu yako: Pombe huhafifisha shughuli za upumuaji.

4: Mfumo wako wa uzazi: Kwa wanaume pombr inaweza kuharibu seli za testesi,zikisababisha upungufu wa nguvu za kiume,kushindwa kuzaa na huenda kuongezeka kwa matiti.Kwa wanawake pombe inaweza kusababisha mvurugiko wa mzunguko wa hedhi na ovari kushindwa kufanya kazi.Pombe pia imehusianishwa na kasoro za kuzaliwa kwa watoto na matatizo ya ubongo.

5: Ini lako:Kwa sababu ini lako lazima lichuje pombe kutoka kwenye damu,pombe huathiri ini kuliko kiungo chochote katika mwili wako.
~Kalori za ziada katika pombe huhifadhiwa kama mafuta kwenye ini.
~Seli za ini zinazofanya kazi hufa kutokana na sumu kwenye pombe.
~Tishu za makovu huchukua nafasi ya seli zilizokufa,zikisababisha kuharibika kwa ini.

6: Mfumo wako wa kinga: Pombe hudhoofisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi.

7: Ongezeko la saratani:Koromeo,Umio,Ini,Matiti kwa wanawake,Tumbo,Kongosho,Utumbo mkubwa,Rektamu,Tezi dume,Yai,Mfuko wa uzazi na mfuko wa mkojo.

Kumbuka kinga ni bora kuliko tiba!!
Sijasoma yote ila binafsi nashauri ukishindwa kabisa kuacha basi kunywa beer tu...
Makali ( whiskey, cogniac, vodka, gin) achana nazo
 
TAMBUA UNYWAJI SAHIHI WA POMBE

Kitu cha msingi kwenye pombe siyo kujua aina ya beer au kilevi. Kitu cha msingi ni kujua percentage of pure alcohol (asilimia ya pombe halisi) na ujazo wake ( volume).

Unit moja ya pombe ni sawa na 10mls of pure alcohol or 8g of the same. Mwanaume hutakiwa kunywa unit 3 za pure alcohol na mwanamke 2 kwa siku( standard units)

Mfano , let say una kinywaji cha pombe(mzinga) umeandikwa 40 percent na ujazo labda 500mls. Hiyo asilimia 40 ni pure alcohol ya ujazo . Ukizidisha mara 500mls unapata 200mls za pure alcohol. So kwenye mls 500 only 200mls are pure alcohol
Kama unit moja ya pure alcohol Ina 10mls za pure alcohol , katika 200mls tulizopata zitakuwa na unit 20 za pure alcohol ( chukua 200mls gawanya kwa 10mls).

Je ,kiasi gani unywe kwa mzinga huo ?

Ni rahisi sana ! Ikiwa unit 20 za pure alcohol zina ujazo wa mls 500 , je unit 3 kwa mwanaume ujazo utakuwaje ?
Jibu 500mls zidisha mara 3 gawanya kwa 20. (75mls )
So utakunywa mls 75 tu kwenye mzinga huo sawa na vifuniko 3 vya mls 25 vya kwenye chupa ya dawa za syrup.

Kumbuka! Pombe huzuia uchomaji wa chakula cha wanga na mafuta kwa zaidi ya saa 72 na kupelekea ongezeko la Uzito, vitambi ,ini kujaa mafuta ( alcoholic fatty liver diseases ) na insulin kinzani ( insulin resistance) , hivyo kuwa katika hatari ya kisukari na shinikizo kubwa la damu.

Ukiweza usinywe pombe kutokana na kusisimua ubongo kwenye eneo la madawa ya kulevya ( mu opioid receptor ) hivyo kusababisha utegemezi ( dependency)

Jinsi pombe inavyoathiri mwili wako

1. Ubongo wako: Pombe hata kiwango kidogo, husababisha madhara yasiyorekebishika kwenye seli za ubongo;baadhi hufa na zingine hubadilika.

2: Moyo wako: Pombe huongeza hatari ya shinikizo la damu, kiharusi, na kudhurika kwa misuli ya moyo.

3: Mapafu yako: Pombe huhafifisha shughuli za upumuaji.

4: Mfumo wako wa uzazi: Kwa wanaume pombr inaweza kuharibu seli za testesi,zikisababisha upungufu wa nguvu za kiume,kushindwa kuzaa na huenda kuongezeka kwa matiti.Kwa wanawake pombe inaweza kusababisha mvurugiko wa mzunguko wa hedhi na ovari kushindwa kufanya kazi.Pombe pia imehusianishwa na kasoro za kuzaliwa kwa watoto na matatizo ya ubongo.

5: Ini lako:Kwa sababu ini lako lazima lichuje pombe kutoka kwenye damu,pombe huathiri ini kuliko kiungo chochote katika mwili wako.
~Kalori za ziada katika pombe huhifadhiwa kama mafuta kwenye ini.
~Seli za ini zinazofanya kazi hufa kutokana na sumu kwenye pombe.
~Tishu za makovu huchukua nafasi ya seli zilizokufa,zikisababisha kuharibika kwa ini.

6: Mfumo wako wa kinga: Pombe hudhoofisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi.

7: Ongezeko la saratani:Koromeo,Umio,Ini,Matiti kwa wanawake,Tumbo,Kongosho,Utumbo mkubwa,Rektamu,Tezi dume,Yai,Mfuko wa uzazi na mfuko wa mkojo.

Kumbuka kinga ni bora kuliko tiba!!
Sijakunywa pombe yoyote tangu kunywa Champagne ya kusheherekea mwaka mpya January 1 2024.

Licha ya kwamba nina Scotch, Vodka, Tequila, wine na beer ndani.
 
Sijakunywa pombe yoyote tangu kunywa Champagne ya kusheherekea mwaka mpya January 1 2024.

Licha ya kwamba nina Scotch, Vodka, Tequila, wine na beer ndani.
Wewe unaweza kuacha kabisa, kwasababu unazo na hazikusumbui. Wengi huacha wakiishiwa, wakipata wanaendelea.
Sasa unapaswa kuziweka kwa ajili ya wageni tu au zigawe kabisa ili uwe mwanzo wa kuacha kabisa.
 
TAMBUA UNYWAJI SAHIHI WA POMBE

Kitu cha msingi kwenye pombe siyo kujua aina ya beer au kilevi. Kitu cha msingi ni kujua percentage of pure alcohol (asilimia ya pombe halisi) na ujazo wake ( volume).

Unit moja ya pombe ni sawa na 10mls of pure alcohol or 8g of the same. Mwanaume hutakiwa kunywa unit 3 za pure alcohol na mwanamke 2 kwa siku( standard units)

Mfano , let say una kinywaji cha pombe(mzinga) umeandikwa 40 percent na ujazo labda 500mls. Hiyo asilimia 40 ni pure alcohol ya ujazo . Ukizidisha mara 500mls unapata 200mls za pure alcohol. So kwenye mls 500 only 200mls are pure alcohol
Kama unit moja ya pure alcohol Ina 10mls za pure alcohol , katika 200mls tulizopata zitakuwa na unit 20 za pure alcohol ( chukua 200mls gawanya kwa 10mls).

Je ,kiasi gani unywe kwa mzinga huo ?

Ni rahisi sana ! Ikiwa unit 20 za pure alcohol zina ujazo wa mls 500 , je unit 3 kwa mwanaume ujazo utakuwaje ?
Jibu 500mls zidisha mara 3 gawanya kwa 20. (75mls )
So utakunywa mls 75 tu kwenye mzinga huo sawa na vifuniko 3 vya mls 25 vya kwenye chupa ya dawa za syrup.

Kumbuka! Pombe huzuia uchomaji wa chakula cha wanga na mafuta kwa zaidi ya saa 72 na kupelekea ongezeko la Uzito, vitambi ,ini kujaa mafuta ( alcoholic fatty liver diseases ) na insulin kinzani ( insulin resistance) , hivyo kuwa katika hatari ya kisukari na shinikizo kubwa la damu.

Ukiweza usinywe pombe kutokana na kusisimua ubongo kwenye eneo la madawa ya kulevya ( mu opioid receptor ) hivyo kusababisha utegemezi ( dependency)

Jinsi pombe inavyoathiri mwili wako

1. Ubongo wako: Pombe hata kiwango kidogo, husababisha madhara yasiyorekebishika kwenye seli za ubongo;baadhi hufa na zingine hubadilika.

2: Moyo wako: Pombe huongeza hatari ya shinikizo la damu, kiharusi, na kudhurika kwa misuli ya moyo.

3: Mapafu yako: Pombe huhafifisha shughuli za upumuaji.

4: Mfumo wako wa uzazi: Kwa wanaume pombr inaweza kuharibu seli za testesi,zikisababisha upungufu wa nguvu za kiume,kushindwa kuzaa na huenda kuongezeka kwa matiti.Kwa wanawake pombe inaweza kusababisha mvurugiko wa mzunguko wa hedhi na ovari kushindwa kufanya kazi.Pombe pia imehusianishwa na kasoro za kuzaliwa kwa watoto na matatizo ya ubongo.

5: Ini lako:Kwa sababu ini lako lazima lichuje pombe kutoka kwenye damu,pombe huathiri ini kuliko kiungo chochote katika mwili wako.
~Kalori za ziada katika pombe huhifadhiwa kama mafuta kwenye ini.
~Seli za ini zinazofanya kazi hufa kutokana na sumu kwenye pombe.
~Tishu za makovu huchukua nafasi ya seli zilizokufa,zikisababisha kuharibika kwa ini.

6: Mfumo wako wa kinga: Pombe hudhoofisha kinga ya mwili dhidi ya maradhi.

7: Ongezeko la saratani:Koromeo,Umio,Ini,Matiti kwa wanawake,Tumbo,Kongosho,Utumbo mkubwa,Rektamu,Tezi dume,Yai,Mfuko wa uzazi na mfuko wa mkojo.

Kumbuka kinga ni bora kuliko tiba!!
Kwenye madhara ya pombe nadhani kikubwa ni kipato, ungejikita hapo, NI kweli Sisi watu wa watu pombe inatugharimu Sana pesa.

Unakunywa pombe ya sh 10,000/= lakini unalipa bill ya 100,000/= Kwa sababu ya wandewa, na wewe huwa wanakutowa vilevile.

Kwenye maradhi sasa hivi mpaka vyakula vimejaa maradhi.

Hamasisha watu kutumia Alkaline Kwa wingi badala ya kuwatisha na madhara ya pombe.

Haya maisha yalivyokaa bila pombe unaweza ukadata ukawa kichaa bure.
 
Sijakunywa pombe yoyote tangu kunywa Champagne ya kusheherekea mwaka mpya January 1 2024.

Licha ya kwamba nina Scotch, Vodka, Tequila, wine na beer ndani.
Africa hatunywi pombe kama starehe watu wengi hawajui huu ukweli.

Hakuna starehe ya kunywa bia kreti moja mtu mmoja, mkae mkijuwa kuna Vitu watu vinawasumbuwa.

Hata Yule Gardner G Habash inasemekana pombe Kali ndio source ya ugonjwa wake.

Sasa jiulize mtu asiye na stress atamaliza Vipi chupa zima la scotch?

Labda ninachotaka kusema hapa kama ilivyo tatizo la vidonda vya tumbo sababu yake kuu ni kuishi dunia ya tatu, basi na issue ya pombe iko hivyohivyo.

Bongo sasa hivi ni 03:38 midnight lakini nasikia mziki kwenye pub ya Jirani watu wanakula maji tena asubuhi tunaamkia working day? Unadhani ni kweli hawa watu Wana furaha?

Wengine wakirudi nyumbani mapema ni kama Jehenamu wake zao Wana midomo kama chuchunge nyumbani hapakaliki.
 
Wewe unaweza kuacha kabisa, kwasababu unazo na hazikusumbui. Wengi huacha wakiishiwa, wakipata wanaendelea.
Sasa unapaswa kuziweka kwa ajili ya wageni tu au zigawe kabisa ili uwe mwanzo wa kuacha kabisa.
Si mara ya kwanza, nishaacha kwa miaka miwili straight, mara mbili. Ila safari hii naweza kuacha kabisa.

Hizo za wageni haziwezi kukosa.
 
Back
Top Bottom