PUNGUZA TUMBO AKA KITAMBI.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Oct 28, 2012
20,464
24,318
12565399_1073323469368237_5328223368247265796_n.jpg



KINYWAJI KITACHOFANYA UONE
TUMBO LIKIPOTEA NDANI YA
WIKI MOJA
Chukua jagi kubwa na weka
vifuatavyo:
1. Maji na slice za:
2. Matango yaliyokatwakatwa
3. Malimao au Ndimu
4. Mdalasini
5. Tangawizi au Manjano ukiweza
kupata
6. Majani ya mint (ukipata)
Weka mchanganyiko kwenye friji
na tumia kama maji ya kawaida.
Ukipenda maji yakiisha weka maji
mapya, ila ni vizuri zaidi ukila
hayo matunda na kuweka mengine
fresh. Ukiachana na kuondoa
mafuta ya tumbo, mchanganyiko
huu ni mzuri kwa kuondoa sumu
mwilini. Kama ladha unaiona kali
sana, ruksa kuongeza kijiko cha
asali.
 
7. Wakati unakunywa mchanganyo huo punguza kula kula manyama choma na mabia..
 
Wewe hufai kabisa! Yaani hata husemi kiasi cha hayo matunda? Maji kama ni jug moya mbona yataisha muda mfupi tu?
 
Tunashukuru kwa elimu yako,
Napenda kujua Slice ndio nn na Majani ya mint ndio majani gani?
Haitoshi maelezo yako hayajajitosheleza Mkuu hujasema:
. Maji lita ngapi,
. Matango mangapi yanayohitaji kukatwa katwa vipande,
. Malimao mangapi na ndimu ngapi?
. Mdalasini kiasi gani?
. Tangawizi vipange vingapi au Manjano kiasi gani?
Mkuu maelezo hayajitoshelezi ama tubuni nakukisia wenyewe!!
Na je hii dawa umeifanya ama ndio research inaanzia kwetuuuu...???
 
Back
Top Bottom