Pumzika kwa Amani shujaa wetu Mhandisi Fabiola Mushi

Mungu awapokee ktk makao yake ya milele!!

Japo hii ajali inanipa wakati mgumu Sana maana uzebe huu wao marehemu hawakuhusika? Ilikuaje watumie njia kwa kiberenge wakati wanafahamu njia inatumika na Treni wakati huo?

Walishindaje kujitupa kutoka kwenye kiberenge? Maana huku kwetu TAZARA viberenge vyake Ni vidogo na km Kuna treni mnaweza kukitoa relini na Treni kubwa ikapita,

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Kama kuna shirika linaendeshwa kizamani basi ni hili la Reli.

Pumzika kwa Amani Engineer..
 
Viberenge vipo vya aina tofauti, vingine ni vikubwa kiasi na huwa vizito.
Inasemwa kuna mabehewa ya mizigo yalianguka sehemu moja huko Tanga siku ya alhamisi.
Mafundi walifanya kazi yao na kuyainua na kuyaweka tena kwenye njia yake (reli). Baada ya kuyaweka baadhi ya mabehewa yakaanza kurudi nyuma (kutembea yenyewe sababu ya slope).
Kumbe muda huo kulikuwa na maofisa wengine wanakuja eneo la tukio kwa kiberenge, kabla hawajafika ndio wakagongana na hayo mabehewa yaliyokuwa yana tembea yenyewe.

Nafikiri itakuwa ilikuwa ni eneo lenye kona, wakashidwa kuona nini kinakuja mbele yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Doh..na kwa Mambo yetu sijui familia zitaachajwe
 

Kwani huwa hakuna mawasiliano ? Hizi kazi zinaendeshwa ki local sana tena na wasomi wakubwa kama hao waliokuwa Kwenye system.Huyu Fabiola si ni Mtu wa system, kwanini wanashindwa kushauri Management namna ya ku operate hizi kazi kwa kutumia mawasiliano.

Tanzania bhana tabu tupu.

Ndo yale yale Mainjinia kwenda kujenga kituo cha mwendokasi Jangwani na ni wasomi wakubwa waliopitisha huo Mpango.

Ujue TZ inamambo ya kipumbavu sana.

Usije kushangaa siku ukiambiwa ATCL Zimegongana Airport
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…