Amoeba
JF-Expert Member
- Aug 20, 2009
- 3,289
- 781
Leo nimeikumbuka hii nimecheka sana.
Wakati tuko "O-Levo" enzi zile katika shule moja ya sekondari iliyopo kanda ya ziwa, kituko cha aina yake kilitukia siku moja mida ya saa tano baada ya "prepo", tukiwa hatuna hili wala lile tunapiga stori kabla ya kulala mara jamaa wawili wanatokea "ablusheni" wanakimbizana mmoja akiwa uchi wa mnyama huku ameshika picha mkononi, Jamaa kaanza kumshushia kipigo cha mbwa mwizi; Tulivyowaachanisha na kuomba maelezo ya chanzo cha kutaka kutoana roho WATU WALIUMIA MBAVU:
"Huyu jamaa ms***e sana, nimemkuta bafuni ameshika picha ya demu wangu halafu anapiga puli" wahahaaa haha aaaa yehee he bwahaaa hahaaaa teh teh teh
Kweli "Bodingi" sku hizo ilikuwa balaa!
Wakati tuko "O-Levo" enzi zile katika shule moja ya sekondari iliyopo kanda ya ziwa, kituko cha aina yake kilitukia siku moja mida ya saa tano baada ya "prepo", tukiwa hatuna hili wala lile tunapiga stori kabla ya kulala mara jamaa wawili wanatokea "ablusheni" wanakimbizana mmoja akiwa uchi wa mnyama huku ameshika picha mkononi, Jamaa kaanza kumshushia kipigo cha mbwa mwizi; Tulivyowaachanisha na kuomba maelezo ya chanzo cha kutaka kutoana roho WATU WALIUMIA MBAVU:
"Huyu jamaa ms***e sana, nimemkuta bafuni ameshika picha ya demu wangu halafu anapiga puli" wahahaaa haha aaaa yehee he bwahaaa hahaaaa teh teh teh
Kweli "Bodingi" sku hizo ilikuwa balaa!