PUGU nadhani JUMA WASISI mnamsoma......

Tupo wengi tuliopitia 'Pond', wapi wajimila - nyoka
nyoka alijiendeleza zamani sana atakuwa udsm
hata juma mzee wa juu sidhani kana bado yuko hapo.

ila pondi na fungus zile sio mchezo hahahaahaha hazina urembo zile

hivi mama pendo mado hupo
 
Kweli tumetoka mbali. Kwa ambao hawakupitia Pugu mtusamehe ila ki-ukweli fungus hadi kwenye makao makuu kwa ajili ya maji ya pondi. Ilikuwa vigumu kushindwa kumtofautisha mwanafunzi wa Pugu kati ya wanafunzi wengine maana wa Pugu utamkuta mkono moja unaminyaminya nyanya (makende) na kuzipapasapapasa. Kisa fungus.

Usisahau na upupu wa pondi. Silaha imara ya kupambana na wanafunzi wa shule korofi. Maana nakumbuka tukiwafunga mabao wanaanza kuleta fujo hivyo silaha yetu ilikuwa kutumia upupu hadi kwenye magari yao. Ilikuwa ni sinema za bure wakianza kuwashwa na upupu. Samahani kwa yote lkn yote yalikuwa maisha ya shule.
 
bila kumsahau mzee mabagala

mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine
 
Alipotoka chuo akawa anafundisha chemistry a-level,shallow mbaya,full kijisifu,mama pendo keshafariki wakuu kama mnamkumbuka,
mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine
 
Nyinyi vijana wa pond yaani mnanikumbusha mbaali sana, hahaha namkumbuka mugyabuso (RIP) huyu alikuwa anafundisha chemistry A -level alikuwa anatupiga mkwala kuwa, bora akuone unaongea kuliko akikuhisi kuwa unaongea
 
Nyinyi vijana wa pond yaani mnanikumbusha mbaali sana, hahaha namkumbuka mugyabuso (RIP) huyu alikuwa anafundisha chemistry A -level alikuwa anatupiga mkwala kuwa, bora akuone unaongea kuliko akikuhisi kuwa unaongea

MKANDAWILE YUKO WAPI? moja wa wana chemia wa pugu
mama pendo hayupo RIP .

KAMA JUMA WASISI NI mwalimu chuo kikuu basi lushoto kuna balaa akienda likizo.
mzee mtata sana huyo.
ila mabagala mwisho wa habari alimkumbizi jamaa mmoja mpaka pugu kajiungeni umbali kama wa KM 3 hivi msele alipochoka
ikabidi asimame, mabagala kufika anamwambia MTOTO nilizani huko fit, chukua nauli panda bus kuna rollcall, ndio maana nilikuwa nakukimbiza
nenda shule mtoto.

hahahaha bangi bana
 
mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine

walimu wengi ndio kazi yao ndio maana vizazi vinaangamia , walimu wote ni wanafunzi wa vyuoni
 
50260_37752286087_5363187_n.jpg


187596_100002061084717_2644242_n.jpg


eximmsaada.jpg
 
mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine

Pugu gani hiyo mnayoisema? Pondi sawa naijua lakini nilitarajia mtu aseme juu ya lile gwaride la ukakamavu lakutumia bunduki za miti ya kuchonga.... lol!!! Wapi Mukulu wa bangoyi, makamanda mkuu wa gwaride???? Siku hizo mtu lazima uvue shati kabla ya kuingia chooni maana usipofanya hivyo shati lako litapata harusi siku nzima, wenyewe tulikuwa tunaita kwenda chooni ni kwenda battle maana sharti uvue shati.
 
Pugu gani hiyo mnayoisema? Pondi sawa naijua lakini nilitarajia mtu aseme juu ya lile gwaride la ukakamavu lakutumia bunduki za miti ya kuchonga.... lol!!! Wapi Mukulu wa bangoyi, makamanda mkuu wa gwaride???? Siku hizo mtu lazima uvue shati kabla ya kuingia chooni maana usipofanya hivyo shati lako litapata harusi siku nzima, wenyewe tulikuwa tunaita kwenda chooni ni kwenda battle maana sharti uvue shati.

hiyo yako mkuu itakuwa ya zamani sana lol,
ila vyoo ziliendelea na hiyo heshima ya kuvua shati, watu kwenda chuoni wanapanga ratiba kwa wiki j5, jumamosi
 
Back
Top Bottom