lifeofmshaba
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 867
- 219
[video=youtube_share;9y-7nhTRlTU]http://youtu.be/9y-7nhTRlTU[/video]
eeh! eeh! eeh! sema sasa?
Tupo wengi tuliopitia 'Pond', wapi wajimila - nyokabila kumsahau mzee mabagala
nyoka alijiendeleza zamani sana atakuwa udsmTupo wengi tuliopitia 'Pond', wapi wajimila - nyoka
bila kumsahau mzee mabagala
mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine
Nyinyi vijana wa pond yaani mnanikumbusha mbaali sana, hahaha namkumbuka mugyabuso (RIP) huyu alikuwa anafundisha chemistry A -level alikuwa anatupiga mkwala kuwa, bora akuone unaongea kuliko akikuhisi kuwa unaongea
mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine
mkuu wazee wa pond big up
labda cha kufurahisha mabagala alirudi shule akaenda chuo kikuu hope alimaliza salama
same to wasiwasi alirudi shule akawa pale mliman sijui al ipoishia maana siri za walimu wanazijua wenyewe
kwa mnaomkumbuka mabeg's alikuwa aanakukimbiza hata ukiwa uchi anasema mi nautaka kuuona huo unaoukimbiza una nini
ni one wa craizy dady hope bado ana survive na mambo ya elimu kama si prof nyingine
Pugu gani hiyo mnayoisema? Pondi sawa naijua lakini nilitarajia mtu aseme juu ya lile gwaride la ukakamavu lakutumia bunduki za miti ya kuchonga.... lol!!! Wapi Mukulu wa bangoyi, makamanda mkuu wa gwaride???? Siku hizo mtu lazima uvue shati kabla ya kuingia chooni maana usipofanya hivyo shati lako litapata harusi siku nzima, wenyewe tulikuwa tunaita kwenda chooni ni kwenda battle maana sharti uvue shati.