mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,697
- 37,300
maisha lazima yaendelee.atleast akija mgeni atajionea namna huruma imetumika kwa wasakatonge wote.Tanzania tatizo kubwa ni siasa za kujipendeleza kwa wapiga kura.
Mfano kituo cha mbezi mwisho utadhani dampo kwa sasa.
lakini sio kushindwa kufanya kitu bora kama kujenga stand.