Mi nadhani kama wangeeleza sababu ya msingi na ya kisheria iliyopelekea Mh Lema kunyimwa dhamana haya yote yasingetokea lakini kuna mazingira ya ukandamizaji wa haki,kwani kosa la Lema si la kupata dhamana?na pale mwanzo kwa nini walisema dahamana iko wazi leo kaifunga nani?laikini je Mh Tundu hajui kutafsiri sheria inayohusu dhamana kwa watuhumiwa?na ndio maana wameamua kulala viwanja vya NMC kwa sababu wameona wazi kuwa kuna ukandamizaji wa haki,kuna uonevu wa hali ya juu,na ki ukweli hili linaendeshwa na usalama wa taifa na maofisa wa polisi kwa ushirikiano na CCM.
Nasikitika kuona kwamba wamepoteza uwezo wa kutafakari na hawana uwezo tena wa kuitumia elimu zao,kwani mpaka sasa wanadhani watu wanaogopa jambo kwa kiasi kikubwa,wasidhani watu wameshasahau polisi walivyua watu Arusha,ingelikuwa hajui kufa wala hawakumbuki kama watu waliuawawa Arusha na au wangelikuwa hawajui ya kwamba wanaweza kukamatwa na kufunguliwa mashitaka basi usingeona mtu hapo NMC.Walipashwa kujifunza ya kwamba watu hawa wako tayari kwa lolote,na usije shangaa hali ikaanza hivyo na mwisho ikasambaa mikoa mingine,mzaha mzaha hutumbuka usaha,libya njoo,libya njoo utamu kolea