Psychedelic Drugs & Consciousness

My molecular Brain is Saluting
you.
Asante kwa knowledge mkuu
 
Kwa wenzetu wa jirani hapo(Kenya) hii kitu ni legal kabisa.Inauzwa tu kama bidhaa zngine.

Kama ulivyosema hapo juu hii Khat inakufamya unakuwa very Talkative,na unakuwa na very imaginative,hupati njaa,na matumizi ya mda mrefu sana bila limit(concentration n frequncy of use) unaweza kupata Ulcers maana ukiiendekeza sana mwishowe unakuwa kama mbuzi tu.
 
Cha muhimu hapa ni majani au fimbo yake iyo?

Unatafuna leaves na stem zote zina Cathinone.
Stem tunaitaje kwa kiswahili? Ni kikonyo au ?

Unatafuta majani na hiko kifimbo.( Stem)
 
Ha ha eti kama mbuzi
Ila namna hii inakua hatari kwa taifa
Maana hayo madhara yakiwepo kwa vijana asilimia 50 si shida iyo au kuna mtu atakujasema ndio maana vijana wetu wanakua wazembe sana na waoga kutake risks
 

Kweli kabisa Kaka.

Unatumia hii kitu mkuu ? I smell it lol
 
Ha ha eti kama mbuzi
Ila namna hii inakua hatari kwa taifa
Maana hayo madhara yakiwepo kwa vijana asilimia 50 si shida iyo au kuna mtu atakujasema ndio maana vijana wetu wanakua wazembe sana na waoga kutake risks

Shida ipo Kwa wale wanaotumia for RECREATIONAL
 
Ha ha eti kama mbuzi
Ila namna hii inakua hatari kwa taifa
Maana hayo madhara yakiwepo kwa vijana asilimia 50 si shida iyo au kuna mtu atakujasema ndio maana vijana wetu wanakua wazembe sana na waoga kutake risks

Kaka hakuna kitu hakuna shida. Miaka ya nyuma kusikia kijana wa miaka 30 anaumwa presha au kisukari ili kuwa nadra sna na mara nyingi inakuwa kwa wale ambao ni genetic issue.

Kwa sasa hivi , Over 46% ya prescription za Diabetes, Presha ni age ranging between 28 to 40. Zaman Hii Kitu ilikuwa haipo.

Ukienda Hosp zinazotoa huduma ya Dialysis kama pale MUHIMBILI au Benjamin Mkapa Hospitali, utaona the rate ya vijana wanavoumwa tatizo la figo.

Zamani tulikuwa tunasema presha na kisukari ni magonjwa ya Matajiri. Siku hizi hadi maskini wanaumwa na wengi ndio wameongezeka.

Matatizo haya husabishwa na life style zetu ; utumiaji wa dawa kiholela, utumiaji mitishamba kiholela ambapo mitishamba mingine huambatana na viambata vya sumu na vya mbolea, vitu kama Al kasusu watu hutumia tu bila ya kuwa na study yoyote ya Maana. Ulaji wa nyama choma hovyo, pombe etc etc.

Risk kubwa ipo kutokana na uelewa na kila kitu ni hatari sio tu hiyo mimea.

Wimbi la ugonjwa wa Figo limemekuwa kubwa sana TZ, shida hizi statistics hazistui watu.
But Figo Figo TZ ni janga kwa sasa sababu ni haya ma Alkasusu, mitishamba na utumiaji wa dawa kiholela.

Kila kitu kinahitaji Balance , ukizidisha ni tatizo
 
Okay kwani ugolo upo fungu gani? Its time to learn everything about everything

Hizo ni Nicotine containing Plants , Tobacco etc etc. Hazinaga Direct effect na brain.

Only Zina Act kama Stimulant and Anxiolytics kwa kwenda ku stimulate releases ya Epinephrine ( Adrenaline) ambayo ita ongeza blood pressure, heart rate and some how you feel stimulated.

Pia Nicotine inaenda kufanya secretion ya Dopamine Hormone ambayo ikiwa nyingi ndio ile hali una feel relaxed and better , unajiona you are okay and happy .

Dopamine is called Happy Hormones
 
Daaah Mungu atakulipa kwa aya yote, matumizi mengi ya alkasusu yamekua mengi pamoja na vitu vingi vifananavyo na iyo kitu ni kwasababu kuna tatizo la sex, nikimaanisha kuto mridhisha msichana ndio maana kuna vumbi la kongo, alkasusu nk nk

Pengine ni akili za wanaume tumekua na anxiety. Au ni kweli wanawake hawaridhiki kwa haraka kama zamani mm sijui

Kwaiyo tunahitaji darasa vijana wengi mtaani wanatumia hivi vitu aiseee ni shida
 
Naogopa kutumia hizi vitu

So far i can only smoke weed kama wewe mwenyewe Mk54 upo by my side kunipa zile guidance za two puff kwa new smoker
 
Pita PM yako chief
 
Mk54 mkuu tupe experience yako juu ya Pombe Effects & advantage hasa hasa hizi pombe Kali Kama K'vant Konyagi nk...
 
Mk54 mkuu tupe experience yako juu ya Pombe Effects & advantage hasa hasa hizi pombe Kali Kama K'vant Konyagi nk...

Sawa Mkuu. This Thread is a Living document for as long as we shall live. We will put all required information, sharing our experience.

Chemist wanaita Alcohol kama Ethanol. Origin ya neno Alcohol ni Arabic word, Al kuhl .

Alcohol zipo za aina nyingi. Kuna Ethanol ambayo ndiyo inatumika sana kwenye pombe, kuna Methanol na Isopropyl Alcohol ambazo hizi haziwi recommended kwa internal use kwa sababu toxicity yake ni kubwa.

Kimsingi Ethanol ni Psychoactive drug ambayo inaenda ku athiri brain function. Ina weza kuwa referred Kama Stimulant and at the same time kama Depressor ya CNS.

Middle East yote kinywaji hiki ndio kilikuwa kinapendwa sana na kilitumika kama sehemu ya Recreational yao. Moment of happiness and hard working walikuwa wanatumia sana Ethanol na Cannabis.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…