Pspf

Pspf

iGodmanhustler

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
609
Reaction score
343
Daah miezi inakata tuuu hata sipati taarifa yoyote kuhusu majibu ya oral interview.au ndo tusipokuita ujue un successful
 
Daah miezi inakata tuuu hata sipati taarifa yoyote kuhusu majibu ya oral interview.au ndo tusipokuita ujue un successful
daaaah we acha tu!hata mimi nashindwa kuelewa cjui ndo ishakula kwetu,mi nilifanya ya FINANCE OFFICER 2....please kama kuna mwenye info atujuze tusiendelee kukaa tunajipa matumaini kumbe watu washaanza kazi kitambo.
 
daaaah we acha tu!hata mimi nashindwa kuelewa cjui ndo ishakula kwetu,mi nilifanya ya FINANCE OFFICER 2....please kama kuna mwenye info atujuze tusiendelee kukaa tunajipa matumaini kumbe watu washaanza kazi kitambo.
bado hawajaita ila nasikia majina yapo tayari muda mrefu cjui wanasubiri bodi ikae,ingawa pia kuna habari kuwa mamluki washaanza kuitwa chini kwa chini na watu wao,ila tuliopata kihalali bado...tuzidi kuomba Mungu,maana pekee ndiye anayeweza kutenda haki...
 
mimi pia same post.maana watu tunashindwa kabisa kufanya mipango mingine hata speed yakuapply kazi imepungua by giving ourselves false hopes
 
Back
Top Bottom