mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,724
hata hivyo kwa hiyo diploma yako itakuwa ishu kupata ud bora umechagua mzumbeSawa mkuu, ila naipenda Mzumbe kuliko UD
hata hivyo kwa hiyo diploma yako itakuwa ishu kupata ud bora umechagua mzumbeSawa mkuu, ila naipenda Mzumbe kuliko UD
Acha uongo ww....kaka mzumbe ndiyo inaongoza kwa kuchukua diploma holders wao wanataka D 4 tu o*level omba hapo mkuu utapata.
4.4 wanakuchukua lkn iwe related na kile ulichosomea diploma.. sio umesoma Law afu unataka uchumi.. wanaangalia sana ufaulu wa O level iwe angalau una D 3 na C 2. Hutojutia kusoma Mzumbe na zaidi utajikuta ukipeta ktk maisha yako ya kazi... all in all Mzumbe ndio chuo kigumu zaidi hapa Tz.. vyuo vingine vigumu ni SUA kikifutiwa na IFM na kidogo UDSM... so ukifika pale nenda shule sio mambo mengine..Yap nina GPA ya 4.4
Asante kwa mchango wako. Nimesoma PA na nataka kuendelea nayo au ikiwezekana nachukua LLB4.4 wanakuchukua lkn iwe related na kile ulichosomea diploma.. sio umesoma Law afu unataka uchumi... all in all Mzumbe ndio chuo kigumu zaidi hapa Tz.. vyuo vingine vigumu ni SUA akifutiwa na IFM na kidogo UDSM... so ukifika pale nenda shule sio mambo mengine...
All the bests ndugu yangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
wacha porojo chuo kigum ni kimoja tz nacho n chuo cha taifa udsm4.4 wanakuchukua lkn iwe related na kile ulichosomea diploma.. sio umesoma Law afu unataka uchumi... all in all Mzumbe ndio chuo kigumu zaidi hapa Tz.. vyuo vingine vigumu ni SUA akifutiwa na IFM na kidogo UDSM... so ukifika pale nenda shule sio mambo mengine...
All the bests ndugu yangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
pia huwa wanabagua watu wa diplomaNi kweli kabisa mkuu, nasikia UD wanakaza sana vigezo vyao
UDSM kuna vilaza nilisoma nao Advance na wanapiga kinyama... hamna lolote kawadanganye wadogo zako nyumbani.. paper za mzumbe hutoboi.. afu pia pale mzumbe ukipata sup 4 at any point unadisco.. yaan kama umepata sup 2 semester 1 na sup 2 semester 2 basi automatically umedisco likewise ukicarry let say 2 subject afu semester inayofuata ukipata sup 2 napo pia umedisco.. hakuna sheria hiyo hapo UDSM.. wanangu kibao wametoboa hapo..wacha porojo chuo kigum ni kimoja tz nacho n chuo cha taifa udsm
wewe kama ni mwanaccm au una undugu na wanaccm au unapenda siasa nenda kasome hiyo political science otherwise kasome LLB, huu ndio ushauri wangu kwako!!Wakuu naomba kujua kama chuo cha Mzumbe kinapokea diploma holders katika Shahada za Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma (Political Science and Public Administration (PSPA)), na Sheria (Law (LLB)) kwa mwaka wa masomo 2017/18.
Na kama wanapokea naomba kujua vigezo, kwa matokeo ya form four na diploma yanatakiwa kuwaje. Nimejaribu kupitia Guidebook ya TCU naona inaelezea holders wa form six na RPL qualifications tu...
mzumbe hakun chuo unapata degree hat ukiwa hom,huingii seminar, test unafanyiwa nkUDSM kuna vilaza nilisoma nao Advance na wanapiga kinyama... hamna lolote kawadanganye wadogo zako nyumbani.. paper za mzumbe hutoboi.. afu pia pale mzumbe ukipata sup 4 at any point unadisco.. yaan kama umepata sup 2 semester 1 na sup 2 semester 2 basi automatically umedisco likewise ukicarry let say 2 subject afu semester inayofuata ukipata sup 2 napo pia umedisco.. hakuna sheria hiyo hapo UDSM.. wanangu kibao wametoboa hapo..
Sent using Jamii Forums mobile app
inawezekana ni kijana mdogo hujui historical background ya mzumbe,,kilikua chuo cha certificate na diploma so wanaamini kupitia huko(falsafa yao)..
Achana na majigambo ya UDSM vs MU-kama unataka PSPA omba UDSM ingawa sidhani kama wanachukua wenye diploma wa kutosha. Kama unataka PA nenda Mzumbe. Mzumbe haina PSPA na UDSM haina PA.Asante kwa mchango wako. Nimesoma PA na nataka kuendelea nayo au ikiwezekana nachukua LLB
Ndio mkuu nimeamua kuomba PA Mzumbe tu. UD ni ngumu kuchukuliwa, halafu isitoshe ndoto yangu kuu ni kusoma Mzumbe licha ya ubora na sifa za UD. Hiyo PSPA niliihitaji nikijua Mzumbe ipo, huku nikiamini itaniboresha zaidi katika PA yangu...Achana na majigambo ya UDSM vs MU-kama unataka PSPA omba UDSM ingawa sidhani kama wanachukua wenye diploma wa kutosha. Kama unataka PA nenda Mzumbe. Mzumbe haina PSPA na UDSM haina PA.