Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,586
Wakuu naomba kujua kama chuo cha Mzumbe kinapokea diploma holders katika Shahada za Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma (Political Science and Public Administration (PSPA)), na Sheria (Law (LLB)) kwa mwaka wa masomo 2017/18.
Na kama wanapokea naomba kujua vigezo, kwa matokeo ya form four na diploma yanatakiwa kuwaje. Nimejaribu kupitia Guidebook ya TCU naona inaelezea holders wa form six na RPL qualifications tu...
Na kama wanapokea naomba kujua vigezo, kwa matokeo ya form four na diploma yanatakiwa kuwaje. Nimejaribu kupitia Guidebook ya TCU naona inaelezea holders wa form six na RPL qualifications tu...
