jaman mwenye proxy za voda free naomba anisaidie
tupe maunjanja nduguhii ndo habari ya mjini
http://meteorvpntz.blogspot.com
au ka vipi ni PM nikupe ujanja
Prox is not adil if you want tobe connected.unless vpn name and apn or you should ask voda to actvat yo chip
Prox sio hazisababishi wewe ukose huduma ya internet isipokuwa unatakiwa ujaze sehemu ya jina na kwa kuandika vodacom wap.alafu APN andika internet tu. Ukijaza mengine ilo litakuwa tatizo lingine kama lain yako haijawahi kufungua interneti wasiliana na vodacom
Tatizo ni shule na sio mimi
JF kura raha sana..uwe unatumia kiswahili, kingereza chako kibovu sana mkuu