IDDI SHAFII, umechaguliwa ilhali hukuomba second round. Hicho ndicho kilichofanyika TCU. Wale ambao walikosa nafasi round ya kwanza kisha hawakuchgua kwenye round ya pili, mfumo umewachagua kwa kuzingatia maombi yao ya kwanza ambayo yalikatiliwa kutokana na uchache wa nafasi.
Nimeona hivyo kwa chuo cha UDSM, DUCE, MUCE na UDOM. Hata baadhi ya kozi ambazo wa awamu ya pili wamechaguliwa hazikuwemo kwenye mfumo wakati wa 2nd round.
Japo imekupa changamoto lakini pia shukuru umepata nafasi ya chuo. Chagua chuo cha kwenda kisha katoe taarifa kwenye chuo hicho ili kithibitishe uwepo wako na TCU wataku cancel kwenye chuo cha pili.
Usipofanya hivyo utapata shida kwenye mkopo.