Nchiyanguu
JF-Expert Member
- Sep 3, 2021
- 319
- 619
Habari za muda huu wana JamiiForums, poleni na uchovu wa mihangaiko ya siku nzima.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada, kwa research yangu ndogo nimegundua hapa Tanzania wengi hatuna elimu kuhusu protein supplements au Poda kama vijana wengi wanavyopenda kuziita.
Kumekuwa na misemo mingi ambayo sio sahihi. Kwa mtu ambae unafanya mazoezi ya kunyanyua chuma hivi virutubisho ni muhimu sana katika kujenga mwili kwani zinakupa calories na grams za protein ambazo ni muhimu katika kujenga mwili.
Kwa maelezo zaidi na elimu zaidi tembelea kwenye ukurasa wa instagram protein_supplemets.
Naomba niende moja kwa moja kwenye maada, kwa research yangu ndogo nimegundua hapa Tanzania wengi hatuna elimu kuhusu protein supplements au Poda kama vijana wengi wanavyopenda kuziita.
Kumekuwa na misemo mingi ambayo sio sahihi. Kwa mtu ambae unafanya mazoezi ya kunyanyua chuma hivi virutubisho ni muhimu sana katika kujenga mwili kwani zinakupa calories na grams za protein ambazo ni muhimu katika kujenga mwili.
Kwa maelezo zaidi na elimu zaidi tembelea kwenye ukurasa wa instagram protein_supplemets.