ok powaOkey mku all the best.....mie proposal hiyo sina lakini nililima matikiti.
Lenga soko vizuri husijevuna ukakutana na wakulima wengine sokoni bei haitokua nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakushauri saaaaana, hiyo 2 milion ,
Wakuu naomba msaada kwa mwenye proposal ya kilimo cha matikiti anisaidie, nataka nijilipue huko nna ka capital kangu hapa kama mil 2
Email: carroll.mwina@gmail.com
Natanguliza shukrani zangu kwa yeyote atakayeguswa na uhitaji wangu
nashukuru kiongoziNakushauri saaaaana, hiyo 2 milion ,
Eka moja Lima tikiti na eka moja Lima Maharage
Huu ni ushauri wangu kwako.na sina namna nyingine ya kukwambia watakuletea hiyo Proposal.. Ila Fanya hivyo najua nilichokushauri maana yake nini....
Nimemaliza!.
Sent using Jamii Forums mobile app
♂️naenda zimbobo.sasa si ndio umpe anachotaka???Upo wapi mkuu. Mi ni mshauri na mkulima wa matikiti. Natoa service zifuatazo.
. Project plan.
.watermelon farm setting.
.Farm management and supervision.
.Marketing and sales.
♂️naenda zimbobo.
Mkuu upo wap me nipo dsm nafikiria kulima PwaniUpo wapi mkuu. Mi ni mshauri na mkulima wa matikiti. Natoa service zifuatazo.
. Project plan.
.watermelon farm setting.
.Farm management and supervision.
.Marketing and sales.
♂️naenda zimbobo.