aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,672
- 3,737
Kijana huyu wa makamo ambaye ni mtumishi mungu mwenye utajiri wa kupindukia na anayegawa pesa na misaada huku akiwa na showoff sana kwenye mitandao nauliza ni nani? Na huu utajiri ameutoa wapi? Anaelimu gani? Kwanini anafanya mambo kwa sifa? Anatoa misaada huku anawarecord maskini? Je ni mtumishi kweli au kuna mengine nyuma ya pazia?
