Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,758
- 6,087
Leo, Nabii Shepherd Bushiri amenunua Jumba la Kifahari lenye thaman ya US$ 12 Million, Sawa na Tsh. Billion 27.6.
Chanzo: Popular Zimbabwean Pastor Prophet Shepherd Bushiri Acquires New $12million Mansion(PHOTOS) ~ Welcome To Trezzy Helm
Kwanini watu wanalalamika sana.
Je, Ni dhambi kwa Watumishi wa Mungu kumiliki Mali? Na Je, Utajiri ni kwa Waumini tu na Wapagani?
Muwe na Jumapili njema.
sent by Samson Cyper
Chanzo: Popular Zimbabwean Pastor Prophet Shepherd Bushiri Acquires New $12million Mansion(PHOTOS) ~ Welcome To Trezzy Helm
Kwanini watu wanalalamika sana.
Je, Ni dhambi kwa Watumishi wa Mungu kumiliki Mali? Na Je, Utajiri ni kwa Waumini tu na Wapagani?
Muwe na Jumapili njema.
sent by Samson Cyper