Niliposikia Waziri wa Uchukuzi wa Zanzibar anajiuzulu baada ya Boti kuzama, Nikasema amefungua mlango wa uwajibikaji. Yule waziri hakuwa na kosa hasa ukizingatia ile Boti ilikuwa inatoka Dar-es-salaam, lakini alijua what is responsibility about.
Leo kumsikia PhD holder anatumia lugha za If condition.
Kama Chadema wengehailisha mkutano wao, Mwandishi asingekufa. Nani nakuuliza Mh Waziri na IGP
Mh Nchimbi! what if Police wangesubiri mpaka mkutano kuisha na kuwakamata Viongozi wa CDM, Mwandishi asingekufa