SalahDaim
Member
- Dec 24, 2017
- 8
- 0
Unajitakia kaka,Bado unaangalia TBC .[
TBC inatumiwa hovyo sana na serikali. Halafu hawana hata aibu
Huwa wanarusha hadi mikutano ya chama nchi nzima. Na hawataki kujifunza kwa mashirika makubwa ya serikali ya habari kama BBC au DW yanafanyaje kazi.