Propaganda chafu za Netanyahu kwa bara la Afrika

Propaganda chafu za Netanyahu kwa bara la Afrika

Nawachukia sana wazungu, hakuna jema hata moja wanalofikiria dhudi ya ngozi nyeusi, popote pale penye vita zinazopelekea kufa watu wasio na hatia mhusika ni Mzungu, wanatuundia silaha wanatugonganisha vichwa wao wanauza silaha sisi tunamalizana, wanatengeneza magonjwa maabara wanayasambaza Africa watuuzie dawa, wanatupora rasilimali zetu za asili mfano madini, ges na mafuta kwa mikataba mibovu yenye shinikizo na vitisho au kwa bunduki wanatuletea vyandarua ambavyo hatujui madhara yake. Nawachukia kweli.

Pole
 
Vitendo vyenu ndiyo vinanifanya niwaambie ukweli wenu,Lakini kwa kutokuelewa kwenu mnasema mimi nawachukia,Mimi nawapenda ndiyo maana nawaambia Mjitambue!!
 
Empty
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1468990480.624439.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1468990480.624439.jpg
    38.2 KB · Views: 45
kila kinachotokea duniani miarabu inasingizia usa na israel ilhal hata wanapouana wao kwa wao hii mijitu haina akili siku zote ndio maana siku zote akili zao hufanana duniani kote,sasa balaa lipo huku africa mtu mweusi km lami anajinasibisha na miarabu et yy mwarab wkt akienda uko arabun anabaguliwa.God bless israel
 
Kwa hiyo wewe unasaport mauwaji ya wanayofanya Israel kwa wapalastina ? Ninamashaka na elimu yako
Acha yatimie tu........na bado ataendelea kuwachakaza tu...kainchi kadogoooooooo.....kana wajambisha waarabu wote pale..remember "THE SIX DAYS WAR".
 
Kwani waarabu wana akili sasa... saa hiz wanauwana wenyewe kwa wenyewe(wanapunguzana).
Kichwa ndio mtu
ingelikuwa wanauana wenye kwa wenyewe kama unavosema isingekuwa janga la kimataifa. nikukumbushe ugaidi umeathiri nchi nyingi duniani ama moja kwa moja au inderect, Marekani, ufaransa, uingereza, kenya, Tanzania etc, etc.
Imani yangu ni kuwa mataifa makubwa yapo nyuma, ya kadhia hii.Haiwezekani na Haingii akili eti ISIS wanamiliki vifaru, vifaa vya kisasa vya mawasiliano, mbinu za kiviti za hali ya juu nk. nk. fikiria mwenyewe jinsi Geographia ya Sryria ilivyo hawa ISIS wanapitishia silaha wapi? ujuzi wanaupatia wapi?
kwa nini Marekani haikufuruahi Russia ilipoanza kuwaponda ISIS? kwa nini Uturuki haikuwasaida raia wa Kobani ambao walikuwa wamezingirwa na ISIS? kwa nini Uturuki ilidondasha ndege ya Russia iliyokuwa ikiwaponda ISIS? na kwanini ilikataa kuomba msamaha mpaka hivi karibuni?
Tafakari.
 
Kwani uongo kama nyie weusi akili zenu haziwazi maendeleo?! Bali zinawaza kuzaana tu pamoja na ngono zembe? Waafrika mngekuwa mnawaza maendeleo Leo hii bara hili lingekuwa na maendeleo makubwa sana kutokana na resources zilizopo
Una akili sana jombaa..
Kwa kuongezea tu kwenye hayo uliyosema.

Kama kweli akili za hizi nyani(sio maneno yangu) zilizopo huku afrika zingekuwa zinawaza maendeleo zisingefanya yafuatayo;

1)watawala kuandaa uchaguzi kwa gharama kubwa ilihali wanajua kabisa hawako tayari kukubali kushindwa, sasa hizo hela za uchaguzi batili kwanin zisitumike kuongeza zahanati?

2)kiongozi kuongoza nchi kma anaongoza familia yake kila kitu anaamua yeye na hataki kuambiwa ni wapi kakosea, pasipo kuzingatia kanuni kabisa ambazo anatakiwa azifuate sababu ndio zinamuongoza yeye kabla hajatuongoza.

3)kuwa na wasomi waliokosa aibu na kuthubutu hata kuyaibia mataifa yao ilihali wanajua kwamba mataifa hayo bado maskini na yana hitaji msaada wao.


..........as bob marley said "Africa you night"
We are still at night indeed, we must wake up and cast out this demonic theft mentality
 
Porojo tupu.
Kutwa kucha mawasiliano na USA hayaishi, Kila mwezi itifaki mpya zinasainiwa nini maana yake. Ondoa hizo porojo.
Kama kwa akili yako unasema poroja waulize Wafuga mamidevu na majini watakuambia kama ni porojo ama si porojo,baba zao waliwasimlia yaliyotokea 1948 na 1967 walikiona kilichomtoa kanga manyoya.
 
Hata kwa ujinga tulio nao tunatafuta mtu wa kumtwisha lawama hivi ni kwanini nchi za ulaya zinawatumia vijana wa kiarabu ktk ugaidi na hasa waislamu?wakati dunia imejaa watu wa aina mbalimbali

Uislamu unakataza kuuwa.. full stop
 
wewe ngunde unajidanganya wewe una raha hapa wakati umepigika ile mbaya,hata wewe unafikiri utaishi milele???

Wewe siku zote nakuonaga unalopoka tu, hujui unachokiongea. Tena Huyo kilaza wako Sharon adhabu anayoipata huko alipo si ndogo, na ataendelea kupata adhabu milele na milele, hivi tunavyoongea "live" huyo netanyahu na wananchi wake usifikiri maisha yao ni ya furaha NO walishalaaniwa tayari, na huko mbeleni adhabu kubwa inawangoja.
 
Wewe siku zote nakuonaga unalopoka tu, hujui unachokiongea. Tena Huyo ****** wako Sharon adhabu anayoipata huko alipo si ndogo, na ataendelea kupata adhabu milele na milele, hivi tunavyoongea "live" huyo netanyahu na wananchi wake usifikiri maisha yao ni ya furaha NO walishalaaniwa tayari, na huko mbeleni adhabu kubwa inawangoja.

Ulishaenda huko ukamwona anateseka????Acheni kukaririshwa uongo,Adhabu hupangwa na Mungu si wewe binadamu umekula ugali na maharage ukavimbiwa harafu unaanza kuropa furani yuko Motoni ni Ujinga huo.
 
Ulishaenda huko ukamwona anateseka????Acheni kukaririshwa uongo,Adhabu hupangwa na Mungu si wewe binadamu umekula ugali na maharage ukavimbiwa harafu unaanza kuropa furani yuko Motoni ni Ujinga huo.

Ndio maana nikasema hujui unachokiongea kila cku ni mtu wa kuropoka tu.
 
Back
Top Bottom