Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,673
Sijui kama kibongo bongo kuna mtu ameshawahi kuwaza hii.
Leo nimekaa nimefikiri sana nikapata wazo na kuja na hii project niliyoipa jina la Fruit Garden (bustani ya matunda),sema tu pesa sina ningejaribu kuifanya.
Project ni ngumu inaitaji pesa na muda, ili kuitekeleza na kuwa vile mawazo na fikra zangu zinataka iwe.
Project yenyewe ni kutengeneza Bustani ambayo ndani yake itakuwa imesheheni miti mbali mbali ya Matunda,ambayo watu watatembelea na kujipatia matunda fresh yakichumwa na kuliwa papo kwa papo.
Ni hivi lipatikane eneo karibu na mji, kama hekari moja na zaidi. Eneo lipigwe fensi fupi, na juu ya fens ziwekwe chuma flani za kuchomelea ambayo itaruhusu wapita njia kuiona bustani ndani kwa urahisi,
Eneo litengenezwe vizuri na ndani ya bustani yatengenezwe mazingira flani kwa kupanda miti ya kutosha ya matunda pekee , kama vile maembe, mananasi, machungwa, maparachichi, maapple,matikiti, zabibu, na miti mingine mingi ya matunda, kwa ustadi na kwa mpangilio wa kuvutia.
Then kupitia miti ya matunda ile mirefu, au ndani ya bustani zitengezwe gardeni nzuri zenye viti stadi vitakayowezesha watu wanaoingia kupumzika na kupata sehemu za kulia matunda wanayoitaji.
Kwa kifupi: Project iwe ni ya kuzalisha matunda na kuyauza yakiwa fresh kwa wateja wanaokuja kutembelea bustani hiyo na kupumzika.
Matokeo ya project hii ni kubwa haraka haraka tu kwanza kupitia fensi inayozunguka bustani kuwekwe gate ambalo watu watapita hapo kwa gate pass (kiasi flani cha pesa) ya kuwezesha kutembelea bustani hiyo, na kwa wanaotaka kupumzika.
Ndani ya bustani yenyewe kuwe na wahudumu ambao ni Nadhifu wa kuwahudumia wateja pindi wanapoitaji kuandaliwa matunda ya kula. Kila tunda likiwa na bei yake, matunda yawe ni fresh tu ni lile litakalo chumwa kuandaliwa na mwisho kuliwa, N.k
Mwisho kabisa kutakuwa na sehemu ya uoteshaji wa miti ya matunda kwa ajiri ya kuuza kwa wateja wanaotembelea bustani hiyo. N.k
Project hii ni gharama kwenye kuitekeleza na inachukua muda lakini faida zake ni kubwa sana kama itafanyika mikoa ya Arusha au Dar es Salam kwa sababu ya wingi wa watu waliopo pamoja na watalii wengi wanaofika kutembeaa katika mikoa hiyo.
NB: Nimendika shortly tu kwa sababu ya muda lakini nafikiri kiasi nitakuwa nimeeleweka.
Leo nimekaa nimefikiri sana nikapata wazo na kuja na hii project niliyoipa jina la Fruit Garden (bustani ya matunda),sema tu pesa sina ningejaribu kuifanya.
Project ni ngumu inaitaji pesa na muda, ili kuitekeleza na kuwa vile mawazo na fikra zangu zinataka iwe.
Project yenyewe ni kutengeneza Bustani ambayo ndani yake itakuwa imesheheni miti mbali mbali ya Matunda,ambayo watu watatembelea na kujipatia matunda fresh yakichumwa na kuliwa papo kwa papo.
Ni hivi lipatikane eneo karibu na mji, kama hekari moja na zaidi. Eneo lipigwe fensi fupi, na juu ya fens ziwekwe chuma flani za kuchomelea ambayo itaruhusu wapita njia kuiona bustani ndani kwa urahisi,
Eneo litengenezwe vizuri na ndani ya bustani yatengenezwe mazingira flani kwa kupanda miti ya kutosha ya matunda pekee , kama vile maembe, mananasi, machungwa, maparachichi, maapple,matikiti, zabibu, na miti mingine mingi ya matunda, kwa ustadi na kwa mpangilio wa kuvutia.
Then kupitia miti ya matunda ile mirefu, au ndani ya bustani zitengezwe gardeni nzuri zenye viti stadi vitakayowezesha watu wanaoingia kupumzika na kupata sehemu za kulia matunda wanayoitaji.
Kwa kifupi: Project iwe ni ya kuzalisha matunda na kuyauza yakiwa fresh kwa wateja wanaokuja kutembelea bustani hiyo na kupumzika.
Matokeo ya project hii ni kubwa haraka haraka tu kwanza kupitia fensi inayozunguka bustani kuwekwe gate ambalo watu watapita hapo kwa gate pass (kiasi flani cha pesa) ya kuwezesha kutembelea bustani hiyo, na kwa wanaotaka kupumzika.
Ndani ya bustani yenyewe kuwe na wahudumu ambao ni Nadhifu wa kuwahudumia wateja pindi wanapoitaji kuandaliwa matunda ya kula. Kila tunda likiwa na bei yake, matunda yawe ni fresh tu ni lile litakalo chumwa kuandaliwa na mwisho kuliwa, N.k
Mwisho kabisa kutakuwa na sehemu ya uoteshaji wa miti ya matunda kwa ajiri ya kuuza kwa wateja wanaotembelea bustani hiyo. N.k
Project hii ni gharama kwenye kuitekeleza na inachukua muda lakini faida zake ni kubwa sana kama itafanyika mikoa ya Arusha au Dar es Salam kwa sababu ya wingi wa watu waliopo pamoja na watalii wengi wanaofika kutembeaa katika mikoa hiyo.
NB: Nimendika shortly tu kwa sababu ya muda lakini nafikiri kiasi nitakuwa nimeeleweka.