Project proposal writer

Project proposal writer

Barakaeli174

Senior Member
Joined
Aug 2, 2015
Posts
171
Reaction score
142
Tunahitaji mwenye uwezo wa kuandika proposal kwa ajili ya kuomba funds kwa donors tofauti.

Mhusika atakuwa volunteer na tuta sign naye mkataba kama volunteer proposal ikikubalika atakuwa one of the incharge wa project hiyo endapo atakuwa na uwezo huo wa kusimamia vinginevyo atakuwa project officer, NGO ni registered under NGO act, kazi zake ni kuwasaidia watanzania wakulima kuondokana na umaskini, kuwafundisha entrepreneurs tanzania nzima, kufanya miradi ya tafiti ili kubaini matatizo yanayo wakabili watanzania wasio weza kufanya biashara n.k.

Kwa maelezo zaidi Tuma private message na tutakupa contacs zote.

Kwa walio serious na wenye ujuzi wa kuandika proposal tu.
 
Ina Maana Atakuwa Anaziandika Bure Tu Hadi Pale Zitakapotiki?
 
piga 0659 174 311 nipo kwenye NGO moja hapa dsm ndo mwandishi wa project zao...
 
Nahitaji kukusaidia bure hasa kuboresha NGO yenyewe kabla ya kuomba fund. Inaonekana bado hauko clear sana kwenye suala la objectives
 
Nahitaji kukusaidia bure hasa kuboresha NGO yenyewe kabla ya kuomba fund. Inaonekana bado hauko clear sana kwenye suala la objectives

Nipe namba yako ya tigo nikupigie kwa maelezo zaidi namba yangu ni 0713551605
 
Msiwe wajinga nyie. Kuandika uwe volunteer, ulisikia wapi hiyo ?. Kuandika kuna malipo yake, na ikipatikana ni mahela mengine tofauti. Hawa ndiyo wanaibia watu...unachimbuka kupata data na backgrounf]d info muhimu then wanaiba na kubadili na kutuma sehemu mbalimbali. Unless hizo proporsal mnaandika kwa Manji au Kinana !
 
kwel huu ni ufala..
yani undik tu proposal kama Vounteer!!!!
haa haaaaa.....
this is funny.
 
Duh! Na Mimi nahitaji kujua jinsi ya kuandika my best naomba msaada hata kwa email nipate lesson kidogo ndugu
 
Tunahitaji mwenye uwezo wa kuandika proposal kwa ajili ya kuomba funds kwa donors tofauti.

Mhusika atakuwa volunteer na tuta sign naye mkataba kama volunteer proposal ikikubalika atakuwa one of the incharge wa project hiyo endapo atakuwa na uwezo huo wa kusimamia vinginevyo atakuwa project officer, NGO ni registered under NGO act, kazi zake ni kuwasaidia watanzania wakulima kuondokana na umaskini, kuwafundisha entrepreneurs tanzania nzima, kufanya miradi ya tafiti ili kubaini matatizo yanayo wakabili watanzania wasio weza kufanya biashara n.k.

Kwa maelezo zaidi Tuma private message na tutakupa contacs zote.

Kwa walio serious na wenye ujuzi wa kuandika proposal tu.

0764 458 513
 
Back
Top Bottom