Wakuu natafuta members ili tuanzishe project kubwa ya kilimo RUVU,nimeplani kilimo cha matikiti maji na natarajia kuwekeza mtaji wa kuanzia 5-10million.
Kwa aliyetayari aniwekee PM ili tuongee fresh.Tutaandika mkataba na mgao wa faida ni kwa hisa kutegemea na mtaji wako.
Natarajia kuanza mchakato jan,
NOTE:sijapata mashamba ila kwa mujibu wa Wataalam pale Ruvu matikiti yanakubali fresh.
Pia kwa anayejua soko zuri zaidi atuwekee hapa ingawa matikiti yana soko zuri.
Naomba kuwasilisha.