Maseke ya Meme
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 699
- 922
- Thread starter
- #261
Mzuzu na Malila,
Naombeni kama mna proposal zozote kuhusu machines za kuzalishia, basi mnitumie kwenye email yangu hapo chini.
Mzuzu, niandikie mmekwama wapi na mnahitaji kitu gani ili nijaribu kutafuta wawekezaji wanaoweza kuwasukuma kwenye hilo la kutengeneza starch. Nilikuwa nakufuatilia kwa siku nyingi sana kwenye makala hii hadi jana nilipokutana na jamaa anataka kujenga mashine za kutengeneza SPIRIT. Nikakumbuka kuwa ulisema kwenye mihogo, unaweza pia kutengeneza Spirit. Ndiyo maana nimekuja moja kwa moja kwako na kwa Malila, Mzee wa chungu kubwa.
Kwa sasa sisi hapa na Umoja wetu wa Watanzania Poland(TAP), tukishirikiana na Ubalozi wa Tanzania Berlin, tunajitajidi kutafuta wawekezaji watakaotaka kuwekeza peke yao au kuunga nguvu na Watanzania kwenye miradi ya aina mbalimbali. Nafikiri kwa hili tunaweza tukalifanikisha pia mkapata wadau wenye nguvu zaidi na mkaanza uzalishaji.
Tuwasiliane kwa email: Ssambali@hotmail.com au simu +48503535735 (Chairman, TAP).
Brief imekuja kwa email umeipata?
Last edited by a moderator: