poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 456
- 175
Watumiaji wengi wa iPhone wamekuwa wakikumbana na tatizo la kufutika kwa data na nambari za simu zilizohifadhiwa.Kwa kawaida, programu mpya ya usasishaji inapoingizwa na kuendeshwa na Jailbreak, tatizo hilo hutokea na data nyingi kama vile nambari za simu, picha, video, meseji na kumbukumbu za mawasiliano ya mwisho zilizohifadhiwa hupotea.Vile vile tatizo hili pia limeweza kuonekana hata kwenye mfumo wa usasishaji bora zaidi duniani wa iOS. Lakini Apple bado haijapata ufumbuzi wa tatizo hili.Iwapo unakumbana na tatizo lolote kama hili, hakuna haja ya kuwa na hofu tena kwa sababu unaweza kurudisha data zote zilizopotea.Programu mpya ya Leawo iOS Data Recovery ya kurudisha data zilizopotea imeleta ufumbuzi kwa watumiaji wa vifaa vya iPhone, iPad na pia iPod Touch na wanaweza kurudisha data kama vile nambari za simu, picha, video, kumbukumbu za mawasiliano ya mwisho, meseji na data nyinginezo.