Programming Resource for beginners

racka98

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
1,041
1,530
Mara nyingi huwa watu wanapost humu kuwa wanataka kujifunza programming na hawajui waanze wapi.

Ukiwa beginner kupata resources nzuri zenye mpangilio mzuri ni mtihani kwa wengi.

Challenge inakuja pale unapotaja mtiririko mzuri wa kujifunza.
Kupata mtiririko mzuri utakao kuguide vizuri usipende kutumia Youtube. Youtube kuna tutorial nyingi sana ila kupata itakayo kufundisha basics vizuri ni kazi kubwa.

Njia nzuri ya kujifunza hvi vitu ni kwa kutumia course sites kwa w3schools, Udemy, Coursera, Udacity, Jetbrains Academy, n.k au vitabu.
Changamoto inakuja hapo ni kwamba course nyingi nzuri ni za kulipia na wengine wanakua hawana huo uwezo.
So leo nimewaletea trick moja nzuri sana ya kujifunza basics zote bure kabisa katika mpangilio unaoeleweka.

Jiunge JetBrains Academy.
Vitu vinavyofundishwa humo ni;
1. Maths
2. Computer Science fundamentals (Including Algorithms)
3. Data Science (Machine learning)
4. Frontend (HTML & CSS)
5. Backend (SpringBoot & Django)
6. Java
7. Kotlin
8. Python
9. JavaScript
10. Scala


Steps to follow:
1. Ingia hapa: JetBrains Academy — Learn programming by building your own apps

2.Kisha chagua track moja wapo iliyowekewa label ya Free
Screenshot 2021-07-05 at 18.23.57.png


3. Chagua Project mojawapo ya kuanzia
Screenshot 2021-07-05 at 18.28.42 (2).png


4. Jaza details zako na kuingia kwenye account yako
Screenshot 2021-07-05 at 18.30.01 (2).png


Baada ya hapo utakuwa umemaliza. Unatengeneza acc ya JetBrains Academy kwa kupitia free track ili ikupe uwezo wa kupewa License kila mwezi ya IDE zote za JetBrains. Hii license inakua na umihimu kwa web developers kwaajili ya kupata Webstorm IDE ambayo inaweza kukusaidia sana kwasababu ya features zake.
Screenshot 2021-07-05 at 18.33.14.png




Sasa hapo utakua na swali, je napate hizo track zingine za kulipia bila kutoa hela?

Solution ni hii;
Kusoma track zingine bila kulipia utatakiwa ku log out hyo account yako (or tumia Incognito mode) na kutumia link hii: JetBrains Academy — Learn programming by building your own apps

Hii link itakupa access ya resources zote nilizotaja kule juu hata ambazo ni za kulipia.
Screenshot 2021-07-05 at 18.05.28.png



Kumbuka tu downsides ya hii ni:
1. Hutaweza kupata access ya training kwasababu inahitaji uwe ume login na uwe umelipia hyo track
2. Hutaweza kupata access ya Projects pia

Cha msingi ni kwamba ukisha soma section flani usibonyeze Start Practicing maana itakuhitaji ku login
Screenshot 2021-07-05 at 18.44.05.png


Je nitajipimaje kuwa nimelewa bila kuwa na access ya Practice na Project?
Tumia website ya codewars kujipima uelewa wako: Codewars: Achieve mastery through challenge

Hapo utakuwa tayari umepata ya high quaity materials zenye mpangilio mzuri kabisa.
Kma una maswali uliza.

⚠️ IMPORTANT NOTE ⚠️
Siku zote kama unaanza programming jifunze kwanza lugha husika kabla ya kukimbilia frameworks na kutengeneza apps.
Mf: Kama unataka kujifunza Django for backend basi soma kwanza Python, ukimaliza ndio ukimbilie hyo Django.

Kma unataka kujifunza kutengeneza Android apps basi soma kwanza Kotlin or Java ndio uende kujifunza mengine.

Ukikimbilia hzo frameworks kabla ya kuijua lugha husika utapata tabu sana na utakua huelewi kinachoendelea.

Happy coding!
 
Kazi ipo

 
Mara nyingi huwa watu wanapost humu kuwa wanataka kujifunza programming na hawajui waanze wapi.

Ukiwa beginner kupata resources nzuri zenye mpangilio mzuri ni mtihani kwa wengi.

Challenge inakuja pale unapotaja mtiririko mzuri wa kujifunza.
Kupata mtiririko mzuri utakao kuguide vizuri usipende kutumia Youtube. Youtube kuna tutorial nyingi sana ila kupata itakayo kufundisha basics vizuri ni kazi kubwa.

Njia nzuri ya kujifunza hvi vitu ni kwa kutumia course sites kwa w3schools, Udemy, Coursera, Udacity, Jetbrains Academy, n.k au vitabu.
Changamoto inakuja hapo ni kwamba course nyingi nzuri ni za kulipia na wengine wanakua hawana huo uwezo.
So leo nimewaletea trick moja nzuri sana ya kujifunza basics zote bure kabisa katika mpangilio unaoeleweka.

Jiunge JetBrains Academy.
Vitu vinavyofundishwa humo ni;
1. Maths
2. Computer Science fundamentals (Including Algorithms)
3. Data Science (Machine learning)
4. Frontend (HTML & CSS)
5. Backend (SpringBoot & Django)
6. Java
7. Kotlin
8. Python
9. JavaScript
10. Scala


Steps to follow:
1. Ingia hapa: JetBrains Academy — Learn programming by building your own apps

2.Kisha chagua track moja wapo iliyowekewa label ya Free
View attachment 1842515

3. Chagua Project mojawapo ya kuanzia
View attachment 1842516

4. Jaza details zako na kuingia kwenye account yako
View attachment 1842517

Baada ya hapo utakuwa umemaliza. Unatengeneza acc ya JetBrains Academy kwa kupitia free track ili ikupe uwezo wa kupewa License kila mwezi ya IDE zote za JetBrains. Hii license inakua na umihimu kwa web developers kwaajili ya kupata Webstorm IDE ambayo inaweza kukusaidia sana kwasababu ya features zake.
View attachment 1842520



Sasa hapo utakua na swali, je napate hizo track zingine za kulipia bila kutoa hela?

Solution ni hii;
Kusoma track zingine bila kulipia utatakiwa ku log out hyo account yako (or tumia Incognito mode) na kutumia link hii: JetBrains Academy — Learn programming by building your own apps

Hii link itakupa access ya resources zote nilizotaja kule juu hata ambazo ni za kulipia.
View attachment 1842525


Kumbuka tu downsides ya hii ni:
1. Hutaweza kupata access ya training kwasababu inahitaji uwe ume login na uwe umelipia hyo track
2. Hutaweza kupata access ya Projects pia

Cha msingi ni kwamba ukisha soma section flani usibonyeze Start Practicing maana itakuhitaji ku login
View attachment 1842524

Je nitajipimaje kuwa nimelewa bila kuwa na access ya Practice na Project?
Tumia website ya codewars kujipima uelewa wako: Codewars: Achieve mastery through challenge

Hapo utakuwa tayari umepata ya high quaity materials zenye mpangilio mzuri kabisa.
Kma una maswali uliza.

⚠️ IMPORTANT NOTE ⚠️
Siku zote kama unaanza programming jifunze kwanza lugha husika kabla ya kukimbilia frameworks na kutengeneza apps.
Mf: Kama unataka kujifunza Django for backend basi soma kwanza Python, ukimaliza ndio ukimbilie hyo Django.

Kma unataka kujifunza kutengeneza Android apps basi soma kwanza Kotlin or Java ndio uende kujifunza mengine.

Ukikimbilia hzo frameworks kabla ya kuijua lugha husika utapata tabu sana na utakua huelewi kinachoendelea.

Happy coding!
Ngoja nijaribu sijui nitaweza
Maombe yenu wanabodi
 
Back
Top Bottom