AI ni tools tu inarahisisha mambo, nowadays hata stack overflow ni kama inakufa hivi maana watu wanatumia sana AI kuremove bugs, thou ni kitu imeondoa ile ladha ya programming, mabishano ya kule stack overflow hadi kufikia conclusion mtu unakua umejifinza patterns nyingi sana ila AI unapest snippet yako anaonesha bugs ilipo (ingawa sio mara zote inakua sahihi, sometimes inabadili the whole structure ya codes zako na kutengeneza kitu kingine kabisa ambacho maybe halikua lengo lako sasa ukiwa ni mtu wa ctr C ctr V unakua na viraka vingi sana kwenye code yako)