Kwa mara ya kwanza umeongea pointi tupu! Sijui umekunywa nini leo.
Halafu cha kushangaza ni kwamba Waingereza wenyewe wala hawatamcheka Kanumba kwa kuongea Kiingereza kilichopinda. Wanaomcheka ni Watanzania wenzake. Strange!!
...huna haja ya kutoa mielezo mirefu kama ilani ya CCM wewe gonga THANKS tuu!