Professor Muhongo aionya serikali

Pamoja na hayo ameandika kuwa Tanzania si kisiwa hivyo ijiandae kwa matatizo makubwa yatakayofwatia kutokana na makosa yetu tunayoyatenda na tunayoendelea kuyatenda hadi sasa na kuipata shubiri Kali itakayo fwatia kutoka kwa wawekezaji.
Makubwa.
 
Hapa nimeamini wachawi na maadui ili Tanzania isisonge mbele ni watanzania wenyewe. Au ndio le PROFESA aliyechukua mlungula uyu?
 

Sasa si angekaa kimya tu. Kama kaamua kuongea basi na atuoneshe mfano wa hiyo shubiri Hii ndio pale Professor anapotoa prophecy badala ya prediction. Prophecy haitaji data ila prediction lazima uwe na data.
 
Hebu wekeni chanzo (link) tujisomee wenyewe.
 
Wewe jamaa ukijitafuta sana inawezekana DNA ilianzia kule kwa washona na Wandebele. Maana hao jamaa walimuaminisha hivyohivyo comrade Robert, ila leo hii imebaki history.
Na ni haohao ndiyo humtukuza Mugabe kwelikweli wakati ameiharibu Zimbabwe.
 
Hayo ni maneno ya mkosaji, hivi kwanini mtu anaweka ubinafsi kwamba bila yeye mambo hayataenda wakati yeye mwenyewe hayo mambo aliyakuta na bado hajamaliza na kayaacha si bora mtu unyamaze.
 
Rais wangu kwa hili sijui umetumia kigezo gani maana mchanga ulikuwa unasafirishwa kwa mujibu wa mikataba. Je mmebadili mikataba hiyo? Ama mnawafukuza wanaotekeleza taratibu mlizoweka.
 
Muhongo kazingua, yaani yeye anaogopa zaidi wawekezaji kuliko anavyoogopa Watanzania kuibiwa mali zao!

Halafu pia kauli yake inatoa signal kwa wawekezaji watushitaki, huu ni ukosefu wa uzalendo, bora angekaa kimya hata kama yuko sahihi.

Lakini pia huu ni ushahidi wa wazi kuwa Rais yuko sahihi kumtumbua huyu profesa, kwa sababu ni dhahiri kwa mitizamo yake hii kamwe asingechunguza ukweli wa madini yanayaochukuliwa na wawekezaji, lakini pia asingekuwa na guts za kurenogetiate mikataba!. Huyu alikuwa hafai kukalia wizara hiyo!
 
Rais wangu kwa hili sijui umetumia kigezo gani maana mchanga ulikuwa unasafirishwa kwa mujibu wa mikataba. Je mmebadili mikataba hiyo? Ama mnawafukuza wanaotekeleza taratibu mlizoweka.

Kusafirisha michanga hakujapigwa marufuku, ila ilisimamishwa ili tujiridhishe kuwa je, Kiwango cha madini tunachoambiwa kuwa kimo kweli ni hicho au tunapigwa kanyanga mchana kweupe?
 
Kusafirisha michanga hakujapigwa marufuku, ila ilisimamishwa ili tujiridhishe kuwa je, Kiwango cha madini tunachoambiwa kuwa kimo kweli ni hicho au tunapigwa kanyanga mchana kweupe?

Sasa kwa nini hakumpa maelekezo waziri akasitisha heye?
 
Hata NAPE alibwata sana ila sasa KATULIA ANAKULA MTAMA...Uwaziri mtamu
 
na je nchi isipopata matatizo ika shinda matatizo yupo tayari kufuta kauli yake na kuomba msamaha watanzania kwa upotoshaji wake?
huyu jamaa sio mzalendo anaegemea zaidi upande wa wawekezaji kuliko nchi yake.
 
yeye mpuuzi sana, asimtishe rais kwa maneno ya kijinga, kwa hili tuko pamoja na rais, kama alitumiwa na hao kupe awaambie "ngosha" kabana
Hajamtisha Mtu amewaeleza Ukweli! Kwa Mtindo huu iko siku Magufuli ataondokewa na Mawaziri wote wenye Akili Itambidi awaweke akina Milinga na Ally Kessy na Mwakyembe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…