Profesa Mwandosya na Dr. Mwakyembe hawapikiki

Ntambaswala

JF-Expert Member
Dec 7, 2008
255
78
Kuelekea uchaguzi kwa 2015, habari za kuaminika kutoka vyanzo visivyopenda kujulikana zinadai kuwa hawa jamaa sasa hivi hawaivi chungu kimoja. Ingawa mwaka 2005 walikuwa pamoja, inaaminika kuwa sasa kila mtu yuko kivyake hasa kwa vile Dr. Mwakyembe naye ni malighafi ya urais

Pia inaaminika sasa hivi JK anaelewana vizuri na Profesa Mwandosya kwani aliyekuwa hasa anawatenganisha kabla( ukiacha ugomvi wao wa zamani) ni Edward Lowasa ambaye inasemekana anaelekea kumalizwa nguvu zake ndani ya CCM na serikali.

Kitendo cha Profesa kuwa karibu na JK kinaonyesha kuwa angalau sasa Profesa anaweza kuwa na sapoti fulani toka kwa JK kama ataamua kugombea. Kitendo hicho hakijawafurahisha Sitta na Dr. Mwakyembe ambao wanaona mmoja kati yao ndio anafaa kuwa mgombea urais 2015.

Pia kitendo cha Mpendazoe kuwaumbua Dr Mwakyembe, Sitta na Nape kuwa ni miongoni mwa waanzilishi wa CCJ kimewapunguzia sana umaarufu ndani ya chama, huku Profesa akiwa hajapata msukosuko wowote wa kisiasa.

Hata hivyo tofauti na Profesa, Dr. Mwakyembe anauzika kwa urahisi na hata chama cha wazee wa kuandamana wanamkubali sana Dr. Mwakyembe tofauti na Profesa ambaye hakubaliki kabisa hata na CUF au NCCR Mageuzi.


.
 
Hivi bado tunamhitaji Mwandosya kwa ajili ya urais? Hivi vibabu sasa vipumzike bwana. Matokeo ya kuchagua hawa wazee ndiyo kama haya ya akina JK, akili ilishachoka kufikiria, anashindwa kufanya mambo ya maana yenye faida kwa taifa. Aende zake huko tunataka fresh blood sasa.
 
Kuelekea uchaguzi kwa 2015, habari za kuaminika kutoka vyanzo visivyopenda kujulikana zinadai kuwa hawa jamaa sasa hivi hawaivi chungu kimoja. Ingawa mwaka 2005 walikuwa pamoja, inaaminika kuwa sasa kila mtu yuko kivyake hasa kwa vile Dr. Mwakyembe naye ni malighafi ya urais

Pia inaaminika sasa hivi JK anaelewana vizuri na Profesa Mwandosya kwani aliyekuwa hasa anawatenganisha kabla( ukiacha ugomvi wao wa zamani) ni Edward Lowasa ambaye inasemekana anaelekea kumalizwa nguvu zake ndani ya CCM na serikali.

Kitendo cha Profesa kuwa karibu na JK kinaonyesha kuwa angalau sasa Profesa anaweza kuwa na sapoti fulani toka kwa JK kama ataamua kugombea. Kitendo hicho hakijawafurahisha Sitta na Dr. Mwakyembe ambao wanaona mmoja kati yao ndio anafaa kuwa mgombea urais 2015.

Pia kitendo cha Mpendazoe kuwaumbua Dr Mwakyembe, Sitta na Nape kuwa ni miongoni mwa waanzilishi wa CCJ kimewapunguzia sana umaarufu ndani ya chama, huku Profesa akiwa hajapata msukosuko wowote wa kisiasa.

Hata hivyo tofauti na Profesa, Dr. Mwakyembe anauzika kwa urahisi na hata chama cha wazee wa kuandamana wanamkubali sana Dr. Mwakyembe tofauti na Profesa ambaye hakubaliki kabisa hata na CUF au NCCR Mageuzi.


.

Hakuna anayefaa kuwa raisi hapo

Mwandosya ni Mgonjwa jamani lol.....Mwakyembe inatakiwa ajivue gamba hatutaki raisi fisadi, huyu ana ile scandal ya posho mara 3. Wapishe mwingine atakaye kuwa na uchungu na nchi.
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kumwambia kiongozi mmoja mwandamizi wa CCM kuwa- wewe hujawahi kufanya jambo zuri wala jambo baya kwahiyo hufai kuwa kiongozi ...............................

Kumbe ili uwe kiongozi lazima uwe unaweza kufanya jambo baya au zuri..............kufanya maamuzi mazuri au mabaya

Dr. Mwakyembe alisimamia tume ya Richmondi ingawa naye ni muoga maana angeamua kukomaa na kujitoa CCM akaenda upinzani angekuwa yuko juu sana hivi sasa. Kitendo cha kukubali uwaziri mdogo kimemshusha chati sawa na swahiba wake Sitta

Profesa nasikia aliwahi kuacha kazi kuepusha kuharibu weledi wake ila naona anakosa ile sauti ya utawala ambayo inaweza kuwaaminisha wananchi kuwa akiingia Ikulu atavunja mikataba yote ya madini, Loliondo n.k
 
Hakuna anayefaa kuwa raisi hapo

Mwandosya ni Mgonjwa jamani lol.....Mwakyembe inatakiwa ajivue gamba hatutaki raisi fisadi, huyu ana ile scandal ya posho mara 3. Wapishe mwingine atakaye kuwa na uchungu na nchi.

Nani mwenye uchungu na nchi ndani ya CCM ??
 
Arafat,
Swali zuri sana, nasikia wazee wa huko kwao waliwaita kuwauliza nani kati yao anajiandaa kugombea urais. Lengo ilikuwa ni kwa wazee kuwa na focus na mtu mmoja na kuelekeza rasilimali adimu kwa mtu mmoja. Nasikia hakuna muafaka uliopatikana maana kila mtu anataka kuwa mgombea
 
Kuelekea uchaguzi kwa 2015, habari za kuaminika kutoka vyanzo visivyopenda kujulikana zinadai kuwa hawa jamaa sasa hivi hawaivi chungu kimoja. Ingawa mwaka 2005 walikuwa pamoja, inaaminika kuwa sasa kila mtu yuko kivyake hasa kwa vile Dr. Mwakyembe naye ni malighafi ya urais

Pia inaaminika sasa hivi JK anaelewana vizuri na Profesa Mwandosya kwani aliyekuwa hasa anawatenganisha kabla( ukiacha ugomvi wao wa zamani) ni Edward Lowasa ambaye inasemekana anaelekea kumalizwa nguvu zake ndani ya CCM na serikali.

Kitendo cha Profesa kuwa karibu na JK kinaonyesha kuwa angalau sasa Profesa anaweza kuwa na sapoti fulani toka kwa JK kama ataamua kugombea. Kitendo hicho hakijawafurahisha Sitta na Dr. Mwakyembe ambao wanaona mmoja kati yao ndio anafaa kuwa mgombea urais 2015.

Pia kitendo cha Mpendazoe kuwaumbua Dr Mwakyembe, Sitta na Nape kuwa ni miongoni mwa waanzilishi wa CCJ kimewapunguzia sana umaarufu ndani ya chama, huku Profesa akiwa hajapata msukosuko wowote wa kisiasa.

Hata hivyo tofauti na Profesa, Dr. Mwakyembe anauzika kwa urahisi na hata chama cha wazee wa kuandamana wanamkubali sana Dr. Mwakyembe tofauti na Profesa ambaye hakubaliki kabisa hata na CUF au NCCR Mageuzi.
Ntambaswala,
Kwa maoni yangu, hizi ni siasa za Mbeya tuu, hakuna ubaya kuwa na 'wishfull thinking' hata kama ni empty hopes. Hebu mfikirie JK na umaarufu aliokuwa nao 2005 na jinsi alivyoshinda kwa kishindo kwa over 80%, halafu fikiria kilichompata JK kwenye uchaguzi wa 2010 na ujio wa Dr. Slaa kwenye mbio hizo, JK licha ya kuwa ni sitting president, akigombea kiti alichokikalia with all the support ya presidential institution, halafu CCM ndio chama tawala, ukijumlisha mbinu zote walizotumia, safi na chafu, plus support ya Tume pendeleo ya uchaguzi kuwasaidia, bado ushindi wa JK ulipururuka mpaka 40%!, hivyo mgombea wa CCM wa 2015, lazima awe ni mtu atakayeweza kumkabili Dr. Slaa, kitu ambacho si Prof. Mwandosya, wala Dr. Mwakiembe ana fit, unless otherwise kama CCM kupitia state machinery yake, watafanikiwa kum contain Dr. Slaa before 2015!.

Nashauri wale washabiki wa siasa za Mbeya, kwenye urais, bora msahau, the sooner the better, ili msijeishia kujihuzunikia bure.

Nakumbushia kwa msisitizo, kuna makabila fulani, uraisi ni BIG NO!
 
No comment mpaka nipate zile za kiinteligencia maana ni kama umeamua kuangalia upepo uanaelekea wapi ndo ukatunga iyo
CU bidae
 
Ntambaswala,
Kwa maoni yangu, hizi ni siasa za Mbeya tuu, hakuna ubaya kuwa na 'wishfull thinking' hata kama ni empty hopes. Hebu mfikirie JK na umaarufu aliokuwa nao 2005 na jinsi alivyoshinda kwa kishindo kwa over 80%, halafu fikiria kilichompata JK kwenye uchaguzi wa 2010 na ujio wa Dr. Slaa kwenye mbio hizo, JK licha ya kuwa ni sitting president, akigombea kiti alichokikalia with all the support ya presidential institution, halafu CCM ndio chama tawala, ukijumlisha mbinu zote walizotumia, safi na chafu, plus support ya Tume pendeleo ya uchaguzi kuwasaidia, bado ushindi wa JK ulipururuka mpaka 40%!, hivyo mgombea wa CCM wa 2015, lazima awe ni mtu atakayeweza kumkabili Dr. Slaa, kitu ambacho si Prof. Mwandosya, wala Dr. Mwakiembe ana fit, unless otherwise kama CCM kupitia state machinery yake, watafanikiwa kum contain Dr. Slaa before 2015!.

Nashauri wale washabiki wa siasa za Mbeya, kwenye urais, bora msahau, the sooner the better, ili msijeishia kujihuzunikia bure.

Nakumbushia kwa msisitizo, kuna makabila fulani, uraisi ni BIG NO!

Tungekuwa bar ningesema mpatieni huyu jamaa crate kwa bill yangu.

Uraisi 2015 ni shughuli pevu Tanzania tegemea sarakasi za aina zote
 
CCM wanaweza wakaendelea kuongoza dola kama watampendekeza Sitta kugombea urais 2015,ila wakiteua mwingine yeyote CDM njia nyeupe pee.
 
kaka hayo ni majungu tu badili mada iwe nani anafaa kuwa rais kati ya mwakyembe na mwandosya sio hawapikiki chungu kimoja, EL is the president of 2015 or membe kama hutaki jinyonge
 
Ntambaswala,
Kwa maoni yangu, hizi ni siasa za Mbeya tuu, hakuna ubaya kuwa na 'wishfull thinking' hata kama ni empty hopes. Hebu mfikirie JK na umaarufu aliokuwa nao 2005 na jinsi alivyoshinda kwa kishindo kwa over 80%, halafu fikiria kilichompata JK kwenye uchaguzi wa 2010 na ujio wa Dr. Slaa kwenye mbio hizo, JK licha ya kuwa ni sitting president, akigombea kiti alichokikalia with all the support ya presidential institution, halafu CCM ndio chama tawala, ukijumlisha mbinu zote walizotumia, safi na chafu, plus support ya Tume pendeleo ya uchaguzi kuwasaidia, bado ushindi wa JK ulipururuka mpaka 40%!, hivyo mgombea wa CCM wa 2015, lazima awe ni mtu atakayeweza kumkabili Dr. Slaa, kitu ambacho si Prof. Mwandosya, wala Dr. Mwakiembe ana fit, unless otherwise kama CCM kupitia state machinery yake, watafanikiwa kum contain Dr. Slaa before 2015!.

Nashauri wale washabiki wa siasa za Mbeya, kwenye urais, bora msahau, the sooner the better, ili msijeishia kujihuzunikia bure.

Nakumbushia kwa msisitizo, kuna makabila fulani, uraisi ni BIG NO!


Pasco,
Umepigilia msumari hasa, uliyosema ni kweli kabisa. Na mimi naona kweli hizo ni wishful thinking kwa watu wa Mbeya kutaka kutoa rais. Ila mke wangu hajapendezwa kabisa na post yako maana anaamini kaka yake (shemeji yangu) -Dr Mwakyembe ndo atakuwa mgombea wa urais 2015, iwe kupitia magwanda au magamba
 
Imefikia mahali leo tunajadili uraisi wa 2015 wakati tuna changamoto nyingi namna hii?Shame on us!
 
kaka hayo ni majungu tu badili mada iwe nani anafaa kuwa rais kati ya mwakyembe na mwandosya sio hawapikiki chungu kimoja, EL is the president of 2015 or membe kama hutaki jinyonge
Nani amekudanganya?
 
Kuelekea uchaguzi kwa 2015, habari za kuaminika kutoka vyanzo visivyopenda kujulikana zinadai kuwa hawa jamaa sasa hivi hawaivi chungu kimoja. Ingawa mwaka 2005 walikuwa pamoja, inaaminika kuwa sasa kila mtu yuko kivyake hasa kwa vile Dr. Mwakyembe naye ni malighafi ya uraisPia inaaminika sasa hivi JK anaelewana vizuri na Profesa Mwandosya kwani aliyekuwa hasa anawatenganisha kabla( ukiacha ugomvi wao wa zamani) ni Edward Lowasa ambaye inasemekana anaelekea kumalizwa nguvu zake ndani ya CCM na serikali.Kitendo cha Profesa kuwa karibu na JK kinaonyesha kuwa angalau sasa Profesa anaweza kuwa na sapoti fulani toka kwa JK kama ataamua kugombea. Kitendo hicho hakijawafurahisha Sitta na Dr. Mwakyembe ambao wanaona mmoja kati yao ndio anafaa kuwa mgombea urais 2015.Pia kitendo cha Mpendazoe kuwaumbua Dr Mwakyembe, Sitta na Nape kuwa ni miongoni mwa waanzilishi wa CCJ kimewapunguzia sana umaarufu ndani ya chama, huku Profesa akiwa hajapata msukosuko wowote wa kisiasa. Hata hivyo tofauti na Profesa, Dr. Mwakyembe anauzika kwa urahisi na hata chama cha wazee wa kuandamana wanamkubali sana Dr. Mwakyembe tofauti na Profesa ambaye hakubaliki kabisa hata na CUF au NCCR Mageuzi..
Mwandosya afya mgogoro, mwombe kwanza arudi kabla hujamwombea awepo 2015
 
Hakuna hata jina moja ulilotaja laweza kupitishwa. Nasikia Naodha au mwanamama wa UN anaweza kuwa mgombea wa chama cha magamba
 
Imefikia mahali leo tunajadili uraisi wa 2015 wakati tuna changamoto nyingi namna hii?Shame on us!
You've spoken well ndugu, hii nchi imekuwa na watu ambao ni obsessed na uongozi. Hata mwaka haujaisha tangu uchaguzi uliopita, sisi tunawaza rais ajae.
 
Back
Top Bottom