Profesa Muhongo amekengeuka!

Hivi ole sendeka udaktari kautoa wapi?

Udaktari nimemtunuku mimi kufuatia juhudi zake za kauwattetea wanyonge. Huyo Profesa uchwara wa CCM anayewatukana wenzake ana faida gani kwenye jamii?
 
unajua watu vibeku wana maneno machafu sana duniani...yaani Muhongo angepewa miguu yote mizima angekuwa shida sana
 
unajua watu vibeku wana maneno machafu sana duniani...yaani Muhongo angepewa miguu yote mizima angekuwa shida sana

mkuu, kwani miguu ya muhongo haina ushirikiano? ndio maana ni jeuri!
 
Na hili li-profesa la kibisa safari hii lazima fedha za ESCROW zilitokee puani--lipuuzi likubwa! Yule mpiganaji wanayemuita TUMBIRI lazima watamsalimia kwa heshima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…