Profesa Muhongo aalikwa Uswisi, Marekani

Profesa Muhongo aalikwa Uswisi, Marekani

malomba

Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
18
Reaction score
5
  • Atahutubia mikutano ya wasomi duniani
  • Vijiji 1,500 nchini kuwa na umeme Aprili 30
Waziri wa Nishati wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amealikwa kuhudhuria mkutano unaoshirikisha viongozi na wataalamu kutoka mataifa mbali mbali nchini Uswisi.
Mkutano huo ujulikanao kama World Economic Forum unafanyika jijini Davos nchini humo.
Aidha kutoka nchini Uswisi, Profesa Muhongo ataelekea nchini Marekani alikoalikwa na Sserikali ya nchi hiyo kwenye mkutano mkubwa unaojadili masuala ya nishati ambapo yeye atakuwa mmoja wa watoa mada.
Akitoka nchini Marekani, Profesa Muhongo ataelekea nchini Italia ambako pia amealikwa kama mmoja wa wataalamu duniani.
Wakati mataifa makubwa yakipigana vikumbo kuwasilisha mialiko kwa Profesa Sospeter kwa kuthamini na kuheshimu utalaamu wake, wanasiasa na wafanyabiashara hapa nchini wameendelea kupuuza utaalamu huo na kuwalaghai watanzania.
 
  • Atahutubia mikutano ya wasomi duniani
  • Vijiji 1,500 nchini kuwa na umeme Aprili 30
Waziri wa Nishati wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amealikwa kuhudhuria mkutano unaoshirikisha viongozi na wataalamu kutoka mataifa mbali mbali nchini Uswisi.
Mkutano huo ujulikanao kama World Economic Forum unafanyika jijini Davos nchini humo.
Aidha kutoka nchini Uswisi, Profesa Muhongo ataelekea nchini Marekani alikoalikwa na Sserikali ya nchi hiyo kwenye mkutano mkubwa unaojadili masuala ya nishati ambapo yeye atakuwa mmoja wa watoa mada.
Akitoka nchini Marekani, Profesa Muhongo ataelekea nchini Italia ambako pia amealikwa kama mmoja wa wataalamu duniani.
Wakati mataifa makubwa yakipigana vikumbo kuwasilisha mialiko kwa Profesa Sospeter kwa kuthamini na kuheshimu utalaamu wake, wanasiasa na wafanyabiashara hapa nchini wameendelea kupuuza utaalamu huo na kuwalaghai watanzania.

Watu wenye akili za kushikiwa wataendelea kutumika kama madodoki na baadaye matako yao yatalia mbwata baada ya kutelekezwa hata kabla ya mwisho wa safari. Lakuvunda hata ukilifukiza uturi ni kazi bure!!!
 
Huyu ni miongoni mwa waliotumwa na dalali Muhongo kuiba ripoti ya CAG wenye ofisi za bunge,halafu bila hata chembe ya aibu anaedelea kuwachefua wa Tanzania kwa kumpamba fisadi papa.
Ole wake akipitia China wanaweza kutusaidia kumuadabisha kabla kiporo chake akijachacha.
 
  • Atahutubia mikutano ya wasomi duniani
  • Vijiji 1,500 nchini kuwa na umeme Aprili 30
Waziri wa Nishati wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amealikwa kuhudhuria mkutano unaoshirikisha viongozi na wataalamu kutoka mataifa mbali mbali nchini Uswisi.
Mkutano huo ujulikanao kama World Economic Forum unafanyika jijini Davos nchini humo.
Aidha kutoka nchini Uswisi, Profesa Muhongo ataelekea nchini Marekani alikoalikwa na Sserikali ya nchi hiyo kwenye mkutano mkubwa unaojadili masuala ya nishati ambapo yeye atakuwa mmoja wa watoa mada.
Akitoka nchini Marekani, Profesa Muhongo ataelekea nchini Italia ambako pia amealikwa kama mmoja wa wataalamu duniani.
Wakati mataifa makubwa yakipigana vikumbo kuwasilisha mialiko kwa Profesa Sospeter kwa kuthamini na kuheshimu utalaamu wake, wanasiasa na wafanyabiashara hapa nchini wameendelea kupuuza utaalamu huo na kuwalaghai watanzania.

nawashangaa sana wafanyabiashara wetu, angalau Sing Seth ameliona hilo na akautumia utaalamu huo vizuri... i cant imagine wafanyabiashara wa marekani na ulaya watakavyoutumia...
 
  • Atahutubia mikutano ya wasomi duniani
  • Vijiji 1,500 nchini kuwa na umeme Aprili 30
Waziri wa Nishati wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amealikwa kuhudhuria mkutano unaoshirikisha viongozi na wataalamu kutoka mataifa mbali mbali nchini Uswisi.
Mkutano huo ujulikanao kama World Economic Forum unafanyika jijini Davos nchini humo.
Aidha kutoka nchini Uswisi, Profesa Muhongo ataelekea nchini Marekani alikoalikwa na Sserikali ya nchi hiyo kwenye mkutano mkubwa unaojadili masuala ya nishati ambapo yeye atakuwa mmoja wa watoa mada.
Akitoka nchini Marekani, Profesa Muhongo ataelekea nchini Italia ambako pia amealikwa kama mmoja wa wataalamu duniani.
Wakati mataifa makubwa yakipigana vikumbo kuwasilisha mialiko kwa Profesa Sospeter kwa kuthamini na kuheshimu utalaamu wake, wanasiasa na wafanyabiashara hapa nchini wameendelea kupuuza utaalamu huo na kuwalaghai watanzania.
Aisee please uwe unatupa update ya mafanikio huko alipo,hayo mabaya watoa hukumu ndo kazi yao,leta update watajadili nini kwa faida ya Watanzania,mi naangalia faida ya hasara anabaki nayo yeye....
 
Ukishakuwa Fisadi, hata uwe msomi namna gani ni kazi bure. Ni kama gari lisilo na usukani. Atupishe tu ili awe huru kutumikia hiyo mialiko yake.
Ova
 
Mbwa ni Mbwa tu hata umpe jina gani,,, Aende koote lakini Mbinguni kwa uchafu wake haendii,,, Kwa Mungu sio kwa Mzungu,,
 
hiyo mialiko haibadilishi wizi wa muhongo. pole.

  • Atahutubia mikutano ya wasomi duniani
  • Vijiji 1,500 nchini kuwa na umeme Aprili 30
Waziri wa Nishati wa Tanzania Profesa Sospeter Muhongo amealikwa kuhudhuria mkutano unaoshirikisha viongozi na wataalamu kutoka mataifa mbali mbali nchini Uswisi.
Mkutano huo ujulikanao kama World Economic Forum unafanyika jijini Davos nchini humo.
Aidha kutoka nchini Uswisi, Profesa Muhongo ataelekea nchini Marekani alikoalikwa na Sserikali ya nchi hiyo kwenye mkutano mkubwa unaojadili masuala ya nishati ambapo yeye atakuwa mmoja wa watoa mada.
Akitoka nchini Marekani, Profesa Muhongo ataelekea nchini Italia ambako pia amealikwa kama mmoja wa wataalamu duniani.
Wakati mataifa makubwa yakipigana vikumbo kuwasilisha mialiko kwa Profesa Sospeter kwa kuthamini na kuheshimu utalaamu wake, wanasiasa na wafanyabiashara hapa nchini wameendelea kupuuza utaalamu huo na kuwalaghai watanzania.
 
Pamoja na usomi wake huo na utaalam wake huo kwa nini aliruhusu zaidi ya billion 390 zilipwe kwa njia ya Panya Road?
 
mLETA mada tofautisha mtu uwa na elimu au ujuzi wa hali ya juuu kwenye nyanja fulani na jinsi anavyoitumia hiyo elimu au ujuzi kwa manufaa ya jamii. Lakini pia usisahau kama maadili ni sehemu kubwa sana ya harakati zinazolalamikiwa na karibu kila mtu hapa TZ kuhusu huyu Prof unayetueleza leo leo kuwa ni jembe linalohitajika kila mahali hadi huko ng`ambo.
 
Back
Top Bottom