Zawadini
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 2,213
- 1,638
Hajasoma UDSN. Huyu kasoma nje, nadhani Australia, ingawa sina hakika sana.Inanifanya nicheke kwa jibu lako ie "Prof amesoma lakini hajaelimika"na hapo napata shida kukubaliana na weye au kuku oppose.
Kwa ajuaye atujuze mwenendo wake wa masomo alipokuwa UDSM akichukuwa u Prof.