Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Ukweli lazima usemwe kuwa kifo cha CUF wa kulaumiwa ni Lipumba.
Kwa tamaa ya fedha ulikubali kuigawanya CUF na kukoleza moto na chuki zako dhidi ya marehemu Seif Sharif kwa kutumikia Jiwe.
Hukujua kuwa ipo siku maovu yako uliyoyafanya ukiwa gizani yata backfire.
Leo hii huna watu wa kuwaongoza huna kiongozi wa nchi anayekupatia tena fedha za kuhujumu upinzani.
Hakika Mungu ni mkubwa siku zote.
Kwa tamaa ya fedha ulikubali kuigawanya CUF na kukoleza moto na chuki zako dhidi ya marehemu Seif Sharif kwa kutumikia Jiwe.
Hukujua kuwa ipo siku maovu yako uliyoyafanya ukiwa gizani yata backfire.
Leo hii huna watu wa kuwaongoza huna kiongozi wa nchi anayekupatia tena fedha za kuhujumu upinzani.
Hakika Mungu ni mkubwa siku zote.