zamu hi kachemka sema jina tu linamlinda
Prof sasa atafute tu ajira kama akina sos b yuko pale maesky anaprint bill of lading na kusubiri mwisho wa mwezi
Kuna kelele fulani nazskia nyumbani kwa jirani yangu ambaye amenunua Jukeboxe ya Mchina zina sauti kama ya Prof.Jay nikadhani labda Jukeboxe yake ni MBOVU...Duuuh...
nadhani kuna tatizo la uveniga humu si taki kuwaaminisha but jay yupo juu na wimbo ni next level tubadilike japo kidogo amekuja kivingine
profesa Jay alitakiwa kuwa level nyingine ki kipato ili sasa awe activist wa music,kuwainua vijana na kutetea maslahi ya wasanii na hata kupiga nao colabo huku yeye akipata muda wa kutosha kujipanga upya.hana jipya kwasasa
haiwezekani msanii kama Jay anakomaa na soko la muziki likiwa hovyo hivi na kama legendary hafanyi harakati zozote kupigania maslahi yao.Profesa haitoshi kupigana vikumbo kwenye soko na vijana,go beyond that
I am a big fun of prof jay..i dont think that he's done!
lets be patient i think he's one of the best in Tz
jaman pro j alikuja mwanza kwenye fiesta ya radio ya wafuu! yaani alitia haibu sn alisahau nyimbo zake then sauti iligoma coz ya mafuta kooni,ilibid mwanafa aje kumsaidia
Nani asiyekujua unasifia wanyonyaji na hao wafu fm,ngoja wakunyonye na wewe uzikwe na chupi peke yakeUjue msanii kama profesa Jay ameimba vitu vingi sana nahisi ameshamaliza vyote,so mziki ulivyo hauwezi ukawaridhsha wote,km wewe unampenda jay aki rap with hard lyrics subiri ngoma yako kama huipend hii pga kmya kuna watu wanaipenda had wanai request redion yoo
Ujue msanii kama profesa Jay ameimba vitu vingi sana nahisi ameshamaliza vyote,so mziki ulivyo hauwezi ukawaridhsha wote,km wewe unampenda jay aki rap with hard lyrics subiri ngoma yako kama huipend hii pga kmya kuna watu wanaipenda had wanai request redion yoo
Nani asiyekujua unasifia wanyonyaji na hao wafu fm,ngoja wakunyonye na wewe uzikwe na chupi peke yake
Umenena vema wimbo umetulia zingine ni chuki binafsi,kibongo bongo huhitaji level kubwa zaidi ya ile,kalinda heshima na kalitendea haki jina lakenadhani kuna tatizo la uveniga humu si taki kuwaaminisha but jay yupo juu na wimbo ni next level tubadilike japo kidogo amekuja kivingine
Umenena vema wimbo umetulia zingine ni chuki binafsi,kibongo bongo huhitaji level kubwa zaidi ya ile,kalinda heshima na kalitendea haki jina lake