Profesa J atikisa Mikumi

Profesa J atikisa Mikumi

Kwa kweli kama watu wanaofaidika na CHADEMA ni wewe binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kufanya kazi ya Mungu hakuhitaji malipo , mimi nalipa zaidi kwa Chadema na sadaka zingine na kusaidia wenye shida na wanaoonewa .

Ninalipa zaidi ya mawakili 20 wanaosimamia kesi za walioonewa ambao asilimia kubwa hata siwafahamu
 
Yeye anaangalia wingi wa watu haangakii idadi ya wapiga kura hata lowasa na mrema kulikuwa hivyo hivyo leo hii wako wapi
Hao watoto hawawezi kupiga kura . sanasana wamekuja kumshangaa msanii aliyeimba zari la mentali
 
Sasa hao watoto ni wapiga kura?mbona mnaaminisha watu kitu ambacho kinaonekana kabisa sio. Wingi wa watu sio kukubälika mkuu wengine wameenda kushaangaa tuu
Kwani mtoto hana mzazi? Kwa kawaida na tamaduni zenu sisi watanzania kitu kama hakipendwi na mzazi mtoto huwezi kukipenda

In God we Trust
 
Hao watoto hawawezi kupiga kura . sanasana wamekuja kumshangaa msanii aliyeimba zari la mentali
Hao ni Mbegu ndugu,chukulia wote hao hivi Sasa Wana miaka 13 miaka mitano ijayo watakua na miaka 18 .Hapo mkutanoni walipo Sasa hivi wanapata Elimu murua kabisa ya uraia na uchungu, Hawa utakapofika mda wa kujiandikisha hawahitaji kushawishiwa Bali wao ndio watakua wanawashawishi wengine.Na Hawa hawatakuibali kuibiwa kura. watakapoona matokeo yanacheleweshwa Hawa watakua na nguvu ya kufanya maamuzi magumu.
Kwa sababu wewe Ni kipofu wa akili huwezi kuyaona hayo.
Hiyo ni Mbegu mbaya Sana kwenu nyie wezi wa kura.Siku hazigandi.
 
Ukiacha hao waliokaa hao wengine waliosimama nyuma mbona kama watoto tena hata la 7 hawajafika
Hao Ni Mbegu Mzee.Hao watapata uhalali wa kupiga kura Miaka mitano ijayo.hao Ni jeshi la keaho.Hapa wanapikwa na wataiva.Endelea kudharau.
 
Back
Top Bottom