Profesa J atikisa Mikumi

Profesa J atikisa Mikumi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,135
Reaction score
282,834
Subpost 3 - Kata ya TINDIGA, Tunaendeleza Mikutano mwanzo mwisho_v_️_v_️ ( 361 X 640 ).jpg
Subpost 2 - Kata ya TINDIGA, Tunaendeleza Mikutano mwanzo mwisho_v_️_v_️ ( 361 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Kata ya TINDIGA, Tunaendeleza Mikutano mwanzo mwisho_v_️_v_️ ( 360 X 640 ).jpg


Hapa ni kwenye Mkutano wa hadhara kata ya Tindiga

====
NDIYO MZEE: JE PROFESA J ALIJITABIRIA

Msanii wa miziki ya kufokafoka, hip hop, Joseph Haule, amekuwa mbunge wa Jimbo la Mikumi kwa miaka mitano kupitia chadema

Aliwahi kuwa kundi la muziki la Choka Mbaya, alianza kwa kujiita Nigga J

Ni mwaka 2001 msanii huyu alikuwa na album aliyoiita ‘Machozi, Jasho na Damu’ ambayo ndani yake kulikuwa na kibao kilichoitwa ‘Ndiyo mzee’ alichomshirikisha, Juma Nature na Mc Babu Ayubu

Katika kibao cha ‘Ndiyo Mzee’ ilikuwa na maudhui ya mwanasiasa anayeomba kura kwa wananchi wake kwa ahadi nyingi kemkem

Moja kati ya msitari anasema ‘mabomba yatatoa maji na maziwa, nchi nzima, watu wa vijijini mtasahau habari za visima’. Je wimbo huu ulikuwa ni utabiri wa hatma ya Joseph Haule
 
Professor J anakubalika zaidi kwake, kuliko mbowe kwa hai
 
Chakufanya ni kuwa wana chama au wapenzi wa cdm wa ukweli na kukisaidia chama kwa moyo maana tayari cdm tupo pekee yetu
Sasa chama chakavu wanakazi ya kujigawa nchi nzima kupambana na Chadema na hapa kampeni hazijaanza

In God we Trust
 
Kwani mtoto hana mzazi? Kwa kawaida na tamaduni zenu sisi watanzania kitu kama hakipendwi na mzazi mtoto huwezi kukipenda
Ukiacha hao waliokaa hao wengine waliosimama nyuma mbona kama watoto tena hata la 7 hawajafika

In God we Trust
 
Ukitaka habari za mikutano ya mbowe fungulia uzi wake
Umati huu ni ishara tosha ya kukubalika kwa mbunge. Picha kama hizi hatukuziona kwa mikutano mitano ya Mh Mbowe jimboni kwake

In God we Trust
 
Back
Top Bottom