
Anamchungulia Maalim nahisi
nani kakuambia n ''photoshop'' hapa yuko emergency door baada ya hali kuwa tetehii picha ni Photoshop!!
Pia kingine cha kujifunza, kwa nchi yetu hii hata usome vipi ukiingia kwenye siasa kuna wengine wanakuwa afadhali STD 7, sema tu zile tittle zinazotangulia ndo zinawatambulisha kama wasomi (Dr, Professor, Mwalimu)Hapa ndio kwa kujifunza... kua upinzani tz bado sana, hivi angekua rais miaka kumi ikapita angeachia uyu?