Profesa huyo

Profesa huyo

mahoza

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2012
Posts
1,248
Reaction score
579
6ec760fe5e81befc7191201009dda5fc.jpg
 
Hapa ndio kwa kujifunza... kua upinzani tz bado sana, hivi angekua rais miaka kumi ikapita angeachia uyu?
 
Nimecheka sana. Mtu mwenye hadhi ya profesa. $$$$$$$ it. It sucks.
 
mbona kama suruali la pro-pesa limelowa!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu jamaa ni professor wa vitini na unafiki,
Professor gan asiyechanganua mambo, huyu jamaa ni wa kupuuzwa
 
Hapa ndio kwa kujifunza... kua upinzani tz bado sana, hivi angekua rais miaka kumi ikapita angeachia uyu?
Pia kingine cha kujifunza, kwa nchi yetu hii hata usome vipi ukiingia kwenye siasa kuna wengine wanakuwa afadhali STD 7, sema tu zile tittle zinazotangulia ndo zinawatambulisha kama wasomi (Dr, Professor, Mwalimu)
 
Back
Top Bottom