TANZIA Profesa Augustine Massawe, Daktari bingwa wa Magonjwa ya Watoto afariki dunia

Dah! Inasikitisha sana. Mwezi uliopita nilipeleka watoto kule hospitali yake moya Bunju nafikiri. Nikasema afadhali amepata eneo kubwa na ameboresha miundo mbinu. Kumbe yeye anapanga yake na Mungu anamipango yake. So sad!
Imempata kama ya Dr wa masikio aliyekuwa na hospitali yake pale Magomeni; alikuwa na kaeneo kadogo ka kupanga akanunua nyumba akajengo ghorofa, alivyohamia tu Mungu akamchukua. RIP Prof Massawe
 
Dr Dulla is gone, and massawe is gone too😭😭😭
 

Mlishe mwanao chakula bora usisubirie kununua antibiotics. Prof amemaliza mwendo apumzike kwa Amani.

Ametufundishia madaktari wengi sana.

Swali chokonozi wakati ule tulipokuwa tuna mtegemea Mungu kwanza na kuhimizwa hivyo na kipindi cha sasa ambapo tunahimizwa kutegemea barakoa, chanjo na akili zetu wapi misiba imekuwa mingi zaidi? Jibu mnalo nafikiri na mjisahihishe ili pengine Huruma ya Mungu na Neema yake ituokoe kama Taifa.

Mungu wa Mbinguni hadhihakiwi hata mara moja. Mtavuna mlicho panda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…