Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ShikamooooNilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Imempata kama ya Dr wa masikio aliyekuwa na hospitali yake pale Magomeni; alikuwa na kaeneo kadogo ka kupanga akanunua nyumba akajengo ghorofa, alivyohamia tu Mungu akamchukua. RIP Prof MassaweDah! Inasikitisha sana. Mwezi uliopita nilipeleka watoto kule hospitali yake moya Bunju nafikiri. Nikasema afadhali amepata eneo kubwa na ameboresha miundo mbinu. Kumbe yeye anapanga yake na Mungu anamipango yake. So sad!
Wewe bado upo hai?Nilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
HongeraNilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Mimi kama Joe Biden,"barely alive"Wewe bado upo hai?
Hongera mkuu naona wewe sasa ni Mzee wa Busara lakini siyo yule Mzee wa Busara wa Juma Nature!!Mimi kama Joe Biden,"barely alive"
Dr Dulla is gone, and massawe is gone too😭😭😭Lala salama baba. Tunakushukuru sana wa huduma Mungu aliyokuwa amekujalia
Uliitumia vyema karama Mungu aliyoiweka ndani yako
Mwendo umemaliza 💔💔💔
---
Daktari Bingwa wa Watoto Dr Augustine Massawe wa Furaha Medical amefariki Dunia leo Jijini Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa familia ni kwamba Dkt. Massawe amefariki asubuhi hii katika hospitali ya Muhimbili alipokuwa amelazwa kwa siku kadhaa kwa matibabu.
Mkuu heshima yako nakupa!!Nilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Kabisaaa Yaani atutetee kwakweliMwaka huu Mungu atutie nguvu
Correct. Rip Dr Massawe.Mungu huwa hatii nguvu wajinga.Kazi yake Mungu ilikuwa ni kutupa akili na alishamaliza kazi hiyo.
ShkamooNilipokuwa Moshi Sec. Form one,Dr. Massawe alikuwa form three.(1966)
Katika dormitory( tulikuwa boarding school),Massawe alikuwa kitanda cha pembeni yangu.
Hivi ndio yule mwenye pale Morocco au maana namsikiaga tu ila simjuagiYule Daktari Bingwa wa watoto Prof Massawe amefariki Dunia leo asubuhi.
Mwenye Furaha Medical
RIP MPENDWA SANA PROF MASSAWE
Rest in peace Doctor
Mara ya mwisho mwanangu kapata jipu matata sana kichwani, kila mtu anasema hilo la kutumbua tu.
Nikafunga safari mpaka Bunju, mzee kacheki kanipa antibiotics moja tu. Siku tatu jipu kwisha kabisa.
Tupendane jamani, you never know the last time unaongea na mtu
Ole nani vile?Imempata kama ya Dr wa masikio aliyekuwa na hospitali yake pale Magomeni; alikuwa na kaeneo kadogo ka kupanga akanunua nyumba akajengo ghorofa, alivyohamia tu Mungu akamchukua. RIP Prof Massawe