mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,849
Kwani Baraza la mawaziro Bado ?
Kuna maswali najiuliza mbona kama wanasiasa wa tanzania baraz Wana uwezo mkubwa sana katka comedy kuliko hata politics Kuna haja yakua halalisha kua politics in tz is directly proportional to comedy
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Kama unataka kuwa comedian kasomeKwaiyo hizi pumba za professor.
Afu eti Kuna mtu ananishawishi nisome PhD
NgumuHaihitaji hayo yote TRA wakikaza kukamata wasio na risiti lazima machinga wataondoka
Mbunge wa zamani wa jimbo la Muleba Prof Anna Tubaijuka amesema tatizo la machinga halitaisha kwa kutoa amri na kuwafukuza mbali bunge linatakiwa kukaa na kutunga sheria yenye adhabu kwa wateja wanaopenda kununua bidhaa hovyo mabarabarani.
Prof Tibaijuka amesema wamachinga hufuata wateja na kama hamna wateja hutamuona machinga kwenye hilo eneo hivyo serikali lazima ijikite kubadilisha utamaduni wa wanunuzi wawe wananunua kwenye masoko maalumu yalitengwa na siyo kununua hovyo hovyo mabarabarani.
Hujaelewa hoja yake!Kwaiyo hizi pumba za professor.
Afu eti Kuna mtu ananishawishi nisome PhD
Siyo kuzeeka ana pesa za kutoshaHuyu Bibi anazeeka vibaya sana
Upuuzi mwingine huu. Hayo maduka rasmi tu Kariakoomengi hayatoi risiti yenye thamani halisi.Haihitaji hayo yote TRA wakikaza kukamata wasio na risiti lazima machinga wataondoka
We kilaza tu. Unjificha ktk kichaka cha kudhihaki PhD.Kwaiyo hizi pumba za professor.
Afu eti Kuna mtu ananishawishi nisome PhD
Kadri unavyozidi kupanua ndiyo kadri unavyozidi kutamani. Mama amesoma hadi nayo masomo yakamsoma.Mbunge wa zamani wa jimbo la Muleba Prof Anna Tubaijuka amesema tatizo la machinga halitaisha kwa kutoa amri na kuwafukuza mbali bunge linatakiwa kukaa na kutunga sheria yenye adhabu kwa wateja wanaopenda kununua bidhaa hovyo mabarabarani.
Prof Tibaijuka amesema wamachinga hufuata wateja na kama hamna wateja hutamuona machinga kwenye hilo eneo hivyo serikali lazima ijikite kubadilisha utamaduni wa wanunuzi wawe wananunua kwenye masoko maalumu yalitengwa na siyo kununua hovyo hovyo mabarabarani.