Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Ni mtazamo tu nimepanua wigo wa fikra tu, naheshimu maoni yake.Ifike mahali maamuzi magumu yawe yanafanyika kuweka good precedent na sio kujifanya kuhurumia watu wasiofata taratibu maana nchi hii unafiki na siasa ni janga kubwa sana, na hii machinga watu wanatumia hisia wahurumiwe mbona wakulima wanaozalisha chakula kinachotumika Dar hawahurumiwi why machinga politicizing kama wao ni special group wanaohitaji favor tu.
Tibaijuka ana exposure kubwa kuliko wengi humu loh na sio kushambulia eti kajifikiria yeye