Prof. Shivji yuko wapi?

Prof. Shivji yuko wapi?

Prof,Drs ni hatari kwa ustawi wa nchi hii!!

Hata mimi nakubaliana,hii midudu inayoitwa prof na drs ni chanzo kikubwa cha umaskini nchi yetu!Ni midudu inayotakiwa kutawaliwa kiimla ili itumike vizuri vinginevyo hii midudu ndiyo madalali wakubwa kuuza nchi yetu na kutengeneza matabaka ili iabudiwe kama miungu!Huyu mtu angeshitakiwa tu anyang'anywe huo u prof maana akili yake ni ndogo kuliko ya mpika supu

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
anakula posho tu anasubiri bunge aanze mashambulizi...
 
Dah!!! Hakuna mtu niliekuwa namuona kama Nyerere kama huyu bwana. Mawazo na maisha yake yalifanana kama ya Nyerere,hata yeye alimpenda na kumkubali Nyerere. Ila amepoteza umaarufu. Tunataka katiba mpya na yeyote atakaesimama mbele ya njia tupitayo atapotezwa ile mbaya. Tupishe tupite,tumechoka na ujinga wa NYINYI EM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums

Utasikia keshapewa ubarozi wa india
 
huyu jamaa aliachwa pembeni kwenye mchakato wa katiba kwa sababu maalum ya kushambukia kutokea nje na kuandaa rasimu mbadala inayotakiwa na viongozi wa ccm kimsingi huyu ndie injinia wa uhalifu wa katiba.

kapotea kama yuda iskariote aliyemsaliti yesu
 
midudu ndiyo madalali wakubwa kuuza nchi yetu na kutengeneza matabaka ili iabudiwe kama miungu!Huyu mtu angeshitakiwa tu anyang'anywe huo u prof maana akili yake ni ndogo kuliko ya mpika supu KITUKO HUWA NI DK BANA YAANI ANA AKILI ZA MZIBUA MITA RO

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums[/QUOTE]
 
Prof. Njaa, Africa ndio maana hatuendelei kama Public figure namna hii anahongwa mahela ana distort kabisa mwelekeo mwafaka nani ataitetea Tz yetu
 
Ni prof mjinga, anaona aibu. tumlipa heshima akalewa akadhani hatuna akili, kumbe ni heshima na dhamana tu tulimpa, tumewithdraw amepotea, nguvu ya umma ilikuwepo kabla ya vitabu vya mzungu, usijaribu kuichezea hata siku moja
 
Hivi na huyu Shivji naye bado wanamtambua kama ni Profesa?... au Profedha?
 
Juzi kati nakatiza along Magore street nakutana na huyu mhindi njaa kali anatembea kwa aibu sura kainamisha anakuja pande za Upanga tena inaonyesha amekonda kwa dhambi ya uongo na kukana maandishi yake!!Njaa mbaya sana.
 
Ni jana tu nilikuwa najiuliza kulikoni huyu mhindi si kawaida yake kukaacha kimya kiasi hiki........au aibu aliyovuna pale alipotetea serikali 2 ndio imemuweka kifungoni?

Prof Shivji ameathirika na matusi aliyotukanwa Ismail Jussa, kwani naye ni Mhindi pia na ccm hawaaminiki!
 
Back
Top Bottom