Prof. Shivji yuko wapi?

Prof. Shivji yuko wapi?

Huyu jamaa aliachwa pembeni kwenye mchakato wa katiba kwa sababu maalum ya kushambukia kutokea nje na kuandaa rasimu mbadala inayotakiwa na viongozi wa ccm kimsingi huyu ndie injinia wa uhalifu wa katiba.
 
Amegundua anazeeka vibaya. Amejinyea mwisho wa sherehe.
 
Tangu alipobadili mwelekeo na kuanza kuiunga CCM katika sera zake za serikali mbili badala ya tatu alizokuwa akihubiri Prof. Shivji amepotea kabisa katika siasa za nchi hii!

Kunani Prof.! Unawashauri nini UKAWA?

Hakulipwa cghake sasa kanuna. Si uliona wale madiwani wa CHADEMA!
 
alipewa milioni 200 na ccm akahidiwa atapewa mkataba mpya chuoni si unajua njaa ogopa tena ya uzeeni


kama kawaida nimekuwa nahisi hivyo --- jamani dhambi --- watajibu je kwa mungu yani pesa ni shetani hata huyo ??? Trust no one what a shame.
 
Tangu alipobadili mwelekeo na kuanza kuiunga CCM katika sera zake za serikali mbili badala ya tatu alizokuwa akihubiri Prof. Shivji amepotea kabisa katika siasa za nchi hii!

Kunani Prof.! Unawashauri nini UKAWA?

UNAFIKI , UONGO NA NJAA YA UZEENI VIMEMTOKOMEZA , usaliti ni laana ya hatari sana !
 
acha ubaguzi wa kuita watanzania wahindi
Waswahili mna kisirani...wewe unafahamu mwishow a siku Shivji ana jumuika na watu gani ktk issue gani zina mbainisha ktk makundi ya watu?Wapuuzi kweli,kwa hiyo umedanganywa kuwa dini moja ndio na wewe ni mhindi na yeye ni mswahili?hao kenge wakishapata umaarufu na mafanikio huwa wanahama hadi na nchi.Wanataja ndugu zao walio wahindi kamili ili kujionesha kuwa ni watu gani.Sijui nani yule km mswahili,..ila mamangu,bibi angau, babu yangu alikuwa mhindi kabisa ....Poleni sana..
 
Umaarufu kama harufu,shvji na zitto wale ambao w2 ma elf na ma elf wanawasikiliza na kuwaamini leo pu.mba 2pu! Hawana maana tena kwa Taifa.
 
Njaa mbaya sana,alikuwa anaheshimika lakini Leo hii kajidhalirisha na anadharauliwa na kila mtu
 
alisikia tunaandaa mashtaka ya kupeleka tume ya vyuo vikuu ili afutiwe udaktari na uprofesa wake kwa kuyakana maandiko yake yaliyompa hizo academic status, akaogopa kufa na kuzikwa bila title yoyote angelikuwa anaitwa "aliyekuwa prof. shivji" chezea UKAWA wewe
Tangu alipobadili mwelekeo na kuanza kuiunga CCM katika sera zake za serikali mbili badala ya tatu alizokuwa akihubiri Prof. Shivji amepotea kabisa katika siasa za nchi hii!

Kunani Prof.! Unawashauri nini UKAWA?
 
Dah!!! Hakuna mtu niliekuwa namuona kama Nyerere kama huyu bwana. Mawazo na maisha yake yalifanana kama ya Nyerere,hata yeye alimpenda na kumkubali Nyerere. Ila amepoteza umaarufu. Tunataka katiba mpya na yeyote atakaesimama mbele ya njia tupitayo atapotezwa ile mbaya. Tupishe tupite,tumechoka na ujinga wa NYINYI EM

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ameshasoma arama za nyakati ameamua kujiweka pembeni.........kutetea uwongo ni gharama.
 
Back
Top Bottom