Prof. Shivji yuko wapi?

Prof. Shivji yuko wapi?

Ileje

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
11,824
Reaction score
18,085
Tangu alipobadili mwelekeo na kuanza kuiunga CCM katika sera zake za serikali mbili badala ya tatu alizokuwa akihubiri Prof. Shivji amepotea kabisa katika siasa za nchi hii!

Kunani Prof.! Unawashauri nini UKAWA?
 
Alipewa milioni 200 na ccm akahidiwa atapewa mkatAba mpya chuoni si unajua njaa ogopa tena ya uzeeni
 
Alipewa milioni 200 na ccm akahidiwa atapewa mkatAba mpya chuoni si unajua njaa ogopa tena ya uzeeni

Alipewa za halali au bandia kama walizopewa wale wa kanda ya ziwa!?
 
Ni jana tu nilikuwa najiuliza kulikoni huyu mhindi si kawaida yake kukaacha kimya kiasi hiki........au aibu aliyovuna pale alipotetea serikali 2 ndio imemuweka kifungoni?
 
tangu alipobadili mwelekeo na kuanza kuiunga ccm katika sera zake za serikali mbili badala ya tatu alizokuwa akihubiri prof. Shivji amepotea kabisa katika siasa za nchi hii!

Kunani prof.! Unawashauri nini ukawa?
siyo mchumia tumbo kama waryoba, alishasema amewaachia wanasiasa wabwabwaje, siku akirudi anawamaliza kabisa
 
ni jana tu nilikuwa najiuliza kulikoni huyu mhindi si kawaida yake kukaacha kimya kiasi hiki........au aibu aliyovuna pale alipotetea serikali 2 ndio imemuweka kifungoni?
acha ubaguzi wa kuita watanzania wahindi
 
alipewa milioni 200 na ccm akahidiwa atapewa mkataba mpya chuoni si unajua njaa ogopa tena ya uzeeni
mmezoea kunyamazishwa na mbowe kwa ruzuku ya serikali mnafikiri shivji ana njaa kama nyie
 
shivji anasutwa na nafsi yake baada ya kuanza kupingana na uhalisia.
 
Wapemba tulimshusha na tunawasiwasi na elimu yake maana huku pemba hata ukimuuliza kichaa kuhusu mungano hawez kusema kama shevj pia twajiuliza labda kwa sabab ye aishi tanganyika
 
Ni jana tu nilikuwa najiuliza kulikoni huyu mhindi si kawaida yake kukaacha kimya kiasi hiki........au aibu aliyovuna pale alipotetea serikali 2 ndio imemuweka kifungoni?

Ubaguzi Tanzania HAUKUBALIKI
 
Tangu alipobadili mwelekeo na kuanza kuiunga CCM katika sera zake za serikali mbili badala ya tatu alizokuwa akihubiri Prof. Shivji amepotea kabisa katika siasa za nchi hii!

Kunani Prof.! Unawashauri nini UKAWA?

Prof. Shivji is no longer with us now we have only Shivji a Ccm patriot
 
Tangu alipobadili mwelekeo na kuanza kuiunga CCM katika sera zake za serikali mbili badala ya tatu alizokuwa akihubiri Prof. Shivji amepotea kabisa katika siasa za nchi hii!

Kunani Prof.! Unawashauri nini UKAWA?
Prof Shivji is dead wood!
 
"The difference between stupidity and genius is that genius has its limits". Albert Einstein
 
Back
Top Bottom