Prof. Safari kweli upo CHADEMA?

Prof. Safari kweli upo CHADEMA?

Mleta mada, ni dhambi kubwa kupandikiza mambo ya udini katika jamii, tujiepushe na hili kwa manufaa ya vyama vyote na taifa kwa ujumla. Ningependekeza, kwa heshima ambayo JF imejijengea, hizi uzi zinazochochea udini, zifunguliwe kurasa yake ya udaku wa udini.
Zisifunguliwe kurasa mkuu,nashauri ziwe blocked kabisa!au wapeke fb na mitandao mingine yakidaku.


A lie has speed,but truth has endurance
 
Chama ni organization kama zilivyo organization zingine so kina formal structure inayo provide job descriptions to each member, hivyo japokuwa wengi wetu tuna amini kuwa kwa kuwa kinaitwa chama cha siasa basi kila mtu mtu aliyepo humo yupo kwa ajili ya kupuyanga kwenye majukwaa ya siasa. Ukweli ni kuwa chama kiana wafanyakazi wengi tu ambao wengine hawawezi kufahamika kabisa kulingana na majukumu yao. katika nyanja hii ya siasa utaona wanaojulikana sana ni wale wanaojihusisha na majukumu yanayo wakutanisaha na wananchi moja kwa moja.

Hivyo Prof Safari kulingana na majukumu yake ndani ya chama inawezekana ndio sababu hapatikani kwenye majukwa ya siasa hivyo kulingana na uelewa wa watu kama nilivyoeleza wanaweza kufikiri kama kuna kitu nyuma ya kutoonekana. Hata hivyo nadhani muda mfupi ujao atakuwa anapatakina kwa kuwa hivi sasa ndie mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani akisaidiwa na makamu wake Mabere Marando.
 
Na hivi karibuni ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Pwani
 
Ni ngumu kwa muislam mwenye akili timamu na itikadi na dini yake kuwa mwanachama wa CHADEMA! Wakati wabunge wa chama chako wanafanya juhudi kuangamiza dini yako! Refer mchango wa Selasini na Msigwa kwenye bunge hili!
Kama Mtanzania tetea mpasuko wa udini na ukabila kwa manufaa ya nchi yako na vizazi vyako!nini faida ya mpasuko wa udini?au aliyekwambia dini itakupeleka mbinguni ni nani?haijalishi ni dini gani lkn dini iliyo bora ni ile yenye kuwaunganisha waamini pasipo kuwagawa.


A lie has speed,but truth has endurance
 
Ni ngumu kwa muislam mwenye akili timamu na itikadi na dini yake kuwa mwanachama wa CHADEMA! Wakati wabunge wa chama chako wanafanya juhudi kuangamiza dini yako! Refer mchango wa Selasini na Msigwa kwenye bunge hili!

Ni wazi kwa kiwango cha wendawazimu wako huwezi tena kupona.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom