Granta
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 5,082
- 6,421
Shule ya kiislam hutaki iwe na msikiti karibu? Wewe Konyo kweliIkiwa kweli ishu ni mtaala, Je Mtambani wao wanatumia mtaala UPI? Maana hawana viwanja vya michezo,sins hakika hata vyoo mahususi kwa ajili ya wanafunzi nadhani watakuwa wanachangiana na vile vya waumini, Msikiti upo karibu sana na madarasa Hivyo kuna mwingiliano mkubwa sana wa kimasomo jambo ambalo sio zuri kwenye ujifunzaji, WIZARA IHAKIKI UPYA VIBALI VYA USAJIRI KWA SHULE ZOTE.