Msameheni bure Mkapa! Mkapa anajulikana ni mtu wa mwenye MIHEMKO na JAZIBA
Aliwahi kutupa microphone mbele ya Tim Sebastian wa kipindi cha hard talk cha BBC, wakati huo kikiwa hewani (LIVE) na kugoma kuendelea na mahojiano.
Hiyo ilitokea wakati alipobanwa na Tim kuhusu mauaji ya Wapemba huko Zanzibar.
Kutokana na JAZIBA na MIHEMKO ndio maana hata baada ya kuwa Rais, hakuacha kumpiga/kugombana na mke wake hata alipokuwa IKULU (Ref kuvunjika mkono na kutembelea magongo saga)