VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof. Rwekaza S. Mukandala amekiweka katika ukata chuo hicho. Taarifa za kuaminika kutoka chuoni hapo zinaonesha kuwa Prof. Mukandala amekuwa na matumizi makubwa na hivyo kukifilisi chuo hicho kikongwe nchini. Matumizi hayo makubwa yametajwa kuwa ni safari zake binafsi nje ya nchi na huduma kwa wanafamilia wake.
'Amekuwa akilazimisha matumizi ya kufuru kwake na familia yake. Kwasasa chuo kiko kwenye hali mbaya kiuchumi. Malipo na miradi mbalimbali imesimama kwakuwa hakuna fedha. Zimemalizwa' kimesema chanzo toka UDSM.
Kwasasa,Prof. Mukandala yuko nchini Marekani kwa safari yake binafsi lakini imegharimiwa na UDSM. Viongozi wetu wanapaswa kujitazama vyema na kutenda haki!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
'Amekuwa akilazimisha matumizi ya kufuru kwake na familia yake. Kwasasa chuo kiko kwenye hali mbaya kiuchumi. Malipo na miradi mbalimbali imesimama kwakuwa hakuna fedha. Zimemalizwa' kimesema chanzo toka UDSM.
Kwasasa,Prof. Mukandala yuko nchini Marekani kwa safari yake binafsi lakini imegharimiwa na UDSM. Viongozi wetu wanapaswa kujitazama vyema na kutenda haki!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam