Prof. Muhongo umetisha

Kumbe bado ujaijua vizuri serikali hii! Kuanzia baba mpaka watoto waongo alafu wana sahau walicho ongopa. Tatizo sio tanesco bali serikali yetu. Mi naona bora tutawaliwe tena bado akili za viongozi wa ccm zinafanana kama minyoo.
 
Ahh mimi sisemi mengi ila inanikumbusha Mama Tiba naye alivyoingia!
 
Mkuu wa kaya dhaifu!, serikari yake dhaifu, Mawadhiri wa magamba dhaifuu akiwemo huyo mu-hongo
 
acha uongo mkuu huyu ni mwana geolojia si mwana siasa kamwe kama una yako ulotumwa kayajadili na mkeo sio kusingizia watu makini kama professor muhongo . ndo maana hajawahi kuomba ubunge mahala popote na amesema kuwa asiposikilizwa anrudi kufundisha.
I see, wewe unaishi dunia gani? Mawaziri wangapi wameingia madarakani na mkwara mbuzi wakaishia kuwa waongo na wazandiki kama wengine tu? Kwani Magufuli anapiga kelele kiasi gani na kutoa maagizo kiasi gani? Utekelezaji upo wapi? Halafu issue za JF zina uhusiano gani na mke wangu? Nafikiri ufike wakati sifa mojawapo ya kujiunga na JF iwe ni umri maana hawa watoto wa sekondari wanaandika chochote tu wanachoona wanaweza kuandika. Hawatumii hata sekunde kufikiria.
 
Maagizo hayo mbona kila Idara za serikali yapo kutekeleza ndo kazi
 
Hilo mbona lilikuwepo tangu zamani? tatizo ni utekelezaji. Usikubali kuridhishwa na hao wanasiasa tena wa CCM
 
Hizi ndo pure Musoma products siyo kama ile Masatu iliyozaliwa Musoma kwa bahati mbaya. Hii nchi haitanyooka hadi mura ingine itakapo weka maskani pale magogoni
 
Atueleze jinsi watakavyo fanya juu ya vyanzo vya nishati ya umeme? Na sikutegemea maji ambayo hayapo! Badala ya kufikiri jinsi ya kupata chakula anafikiri jinsi ya lula.magamba wengine bwana.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…